Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,685
Ha ha haaa! You made ma day, man.
Umecheeeeka...haya Mhariri wa Gazeti la Ngazi!!!
Ha ha haaa! You made ma day, man.
Lini jimbo kuu la Songea litatoa askofu?
Kwa nini jimbo la lringa linatoa maaskofu wengi nchini? Huyo Dallu wa lringa, Mtega nae wa lringa, kuna Chengula-Mbeya wa lringa.
Limetoa askofu wa Lindi Bruno Ngonyani, Askofu Mstaafu wa Mbinga Emmanuel Mapunda na hata zaman Mbinga ikiwa sehemu ya Songea alitoka Askofu Mkuu Komba na Askofu Maurus komba wa zamani Tanga wote sasa ni marehemu!
Kwa nini jimbo la lringa linatoa maaskofu wengi nchini? Huyo Dallu wa lringa, Mtega nae wa lringa, kuna Chengula-Mbeya wa lringa.
Huyu Askofu Norbert Mtea kuna jambo amelifanya na ndio maana amejiuzulu na kwa taharifa ni kuwa hayupo Tanzania yupo Ujeeumani na afya yake ni nzuri tu...
Umecheeeeka...haya Mhariri wa Gazeti la Ngazi!!!
Naomba totauti ya jimbo kuu na jimbo la kawaida, madaraka na mipaka ya maaskofu husika. Mimi sio Mkatoliki, naomba kujuzwa.
Kwa nini jimbo la lringa linatoa maaskofu wengi nchini? Huyo Dallu wa lringa, Mtega nae wa lringa, kuna Chengula-Mbeya wa lringa.
Seminari kuu ya Peramiho.
Kwa nini jimbo la lringa linatoa maaskofu wengi nchini? Huyo Dallu wa lringa, Mtega nae wa lringa, kuna Chengula-Mbeya wa lringa.
Majimbo makuu au kwa jina lingine Metropolitan ni majimbo au jimbo linalosimamia majimbo mengine. Huwa linaongozwa na Askofu Mkuu au Kadinali (kwa uchache sana). Kwa Tanzania yamegawanywa kikanda, kwa upande wa Kusini ni Metropolitan ya Songea yenye Askofu Mkuu (mteule) Damian Dallu ikiwa inasimamia majimbo ya Mbeya, Iringa, Njombe, Mbinga, Tunduru-Masasi, Mtwara na Lindi; kanda ya kati na magharibi ni Metropolitan ya Tabora chini ya Askofu Mkuu Paul Ruzoka inasimamia majimbo ya Singida, Rukwa, Mpanda na Kigoma; upande wa kaskazini ni Metropolitan ya Arusha ikiongozwa na Askofu Mkuu Josephat Lebulu ikisimamia majimbo ya Mbulu, Moshi, Same na Tanga; upande wa Mashariki ni Metropolitan ya Dar es Salaam ikiongozwa na Polycarp Kadinali Pengo akisaidiwa na maaskofu Wasaidizi (Auxiliary Bishops) Eusebius Nzigilwa na Titus Mdoe ikisimamia majimbo ya Morogoro, Dodoma, Mahenge, Zanzibar na Ifakara na kwa kanda ya ziwa metropolitan ya Mwanza ikiongozwa na Askofu Mkuu Yuda Tadei Ruwaichi (OFMCap) ikisimamia majimbo ya Mara, Bunda, Geita, Shinyanga, Ngara, Rulenge na Bukoba.
Kwa tafsiri nyepesi ni kama kanda; kwamba nchi hugawanywa katika kanda mbalimbali halafu kunakuwa ma makao makuu ya kanda
Vivyo hivyo kanisa Katoliki imegawa nchi ya Tanzania katika katika majimbo makuu kadhaa ambayo ni pamoja na jimbo kuu la Dar es salaam, Arusha, Mwanza, Songea, Tabora Dodoma na mengine ambayo sina uhakika wa kuyataja. Kila jimbo kuu linakuwa na majimbo mengine yaliyo chini yake. Mgawanyo wa mipaka ya jimbo kuu haiangalii mikoa na inaweza kuunganisha mikoa kadhaa katika jimbo moja kuu
Fr Norbert Mtega, Fr Kikoti marehemu kwa sasa Mungu amrehemu, Fr Damian Dallu, Fr NgalaleKumtwa, Fr Chengura huyu anatokea jimbo la Njombe, Fr Mario Mgulunde
Dodoma sio Jimbo kuu mkuu...
Dodoma sio Jimbo kuu mkuu...
Jimbo la Dodoma lipo chini ya Jimbo kuu la Dar es salaamHata hivyo sikuwa na uhakika
Nifahamishe liko chini ya jimbo kuu lipi?