Recent content by beirut

  1. B

    Angalizo: Wanaoagiza Wafanyakazi wa Ndani Toka Mikoani

    Si kwamba ndo nagundua leo by the way nlikuwa nawajuza ambao waoikua hawajui ishu km hii, afu si kwamba ukizaliwa mjini au ukiwahi kuja mjini kila trick ya kihuni unakuwa unaijua
  2. B

    Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

    Wewe unafikiri kila kinachoandikwa juu ya viongozi wa Africa( wanaopingana na wazungu) ni kweli bila kujua wakat mwingine ni trick za wazungu kuharibu utawala wa waafrika, ndo mana unaambiwa akili za kuambiwa changanya na za kwako: au ulitaka kuona mapandikizi wa kizungu watutawale ili kusave...
  3. B

    Angalizo: Wanaoagiza Wafanyakazi wa Ndani Toka Mikoani

    Napenda kutoa angalizo kwa watu waishio Dar na ambao huwa wanaagiza wanafakazi wa ndani ( house girls na house boys) limezuka kundi la watu ambao wanakaa katika vituo vya mabasi yatokayo mikoani ( km kituo cha ubungo) ambao kazi yao ni kuwaiba hao house girls au boys ambao wengi wetu huwa...
  4. B

    BOT Vacancies

    Ni kweli tunawahitaji watu km Gov Ndullu watu ambao wako committed kusave interest za nchi, me mwenyewe nimepata habari/ushuhuda kutoka kwa mfanyakazi BoT kuwa saiz mambo yamebadilika kweli hata kwenye issue km za kuajiri, kikubwa ni kumwombea sana kwa Mungu abaki na msimamo wake.
  5. B

    Hili bunge limejaa washenzi na wahuni sijapata kuliona toka tupate uhuru, Rev. Mtikila

    Sawa tuenjoy kwa muda wa miezi hii mitatu( izo komedi) ila katiba itatuenjoy kwa miaka kadhaa, au hujasikia huko kenya mambo yaliyoletwa na katiba mpya?hadi kuku walipiwa kodi. Let us wait the time will tell.
  6. B

    Msaada tafadhali kuhusu mkopo Bayport

    Nilichowahi kuambiwa kuhusu hao jamaa(Bayport) ni kwamba huwa wana tabia ya kuendelea kukata pesa yako(especially km wanakata kwenye mshahara) hata km umemaliza kulipa deni na hata ukifanya follow up wanajifanya wanafuatilia issues kumbe wanasogeza miezi tu( inaweza kufika hadi sita) na hiyo...
  7. B

    Rav 4 vs Xtrail

    Xtrail yako ni model ipi mkuu na uliinunua kwa shs ngapi?
  8. B

    Unamkufuru Mungu bila kujijua

    No brethren your not right: dhambi ni dhambi tu hata km hujui kwa kutenda ivo ni dhambi ndo maana kwenye bible imeandikwa " ktk enzi za ujinga wenu Mungu alijifanya km dhambi hazioni ila sasa anawagiza watu wote watubu" anaposema enzi za ukinga anamaanisha wakati ule ambapo kuna mambo mabaya...
  9. B

    Serikali ya Kagame wanaendelea kuichokonoa Serikali ya Tanzania

    Hiyo story aliyoleta jamaa ina criticisms nyingi sana, lakini yawezekana lisamwalo lipo, uchunguzi mdogo ukifanyika kuhusu hayo maduka tajwa na ikabainika kuwa kweli hayajawa registered tra basi hatua mahususi ikiwemo habari kuchapishwa kwenye vyombo habari itakuwa ni hatua muhim na EFD...
  10. B

    Prince Charles told not to shake hands with Tanzania President

    Tusaidie sasa tunafanyaje na tembo wetu wanaouliwa kupitia networks za viongozi wetu wasio waaminifu?
  11. B

    Afisa TRA - mtoto wa miaka 2 kumiliki ghorofa

    Mkuu huyo jamaa ana hasira na wafanyabiashara tu kwa sababu yeye analipa kodi( haijalishi hata km kwake ni kubwa kuliko alivyopaswa kulipa) anataka na wafanyabiashara nao walipe kodi hata km itakuwa kubwa kiac gani pasi kujua kwamba threats wa kodi ktk nchi yetu ni serikali( matumizi mabaya na...
  12. B

    Gazeti la JAMHURI limenunuliwa nakala zote ili lisionekane mtaani leo

    Manyerere si kila mtu anayecomment humu unatakuwa kumjibu, uwe unaangalia na logic behind the comment wengine wanacomment tu kwa sababu wanajua kusoma na kuandika: Ila jitahidini kuweka habari kwenye web yenu ili ishu km hizi za kununuliwa kwa nakala zote zisitokee
  13. B

    Video: ITV News ya UK yapeleleza biashara ya NDOVU nchini, yawarekodi wauzaji bila ya wao kujua...

    Eee Mola waondolee tusks tembo wetu maana wanauawa na hakuna wa kuwatetea!
Back
Top Bottom