Unamkufuru Mungu bila kujijua

Unamkufuru Mungu bila kujijua

Tusome kinyumenyume sasa..., Mungu=Ngumu, je hii nayo ni kufuru?
 
Tusome kinyumenyume sasa..., Mungu=Ngumu, je hii nayo ni kufuru?

Kwa maelezo ya huyu mdanganyuka ni kufuru.
Kwanini anapindua maneno kwa lengo la kutafuta maana anayoitaka yeye?
 
Hizi ni story za vijiweni tu,,kujaribu kulazimisha maana za vitu kwa hoja za vijiweni,,,kwanza katika dini ignorance of law is a good defence,,huwezi kutenda dhambi kama unalolifanya hulijui kama ni dhambi.
 
Yule sheikh kawadanganya sana waislam.
Na ndio maana nasema waislam ni rahisi mno kudanganyika!
Kwanini ulisome hilo neno toka mwishoni na sio kama lilivyoandikwa?
If that the case,hata God kwa maana ya Mungu ni kufuru kwani ukilisoma kinyume nyume ni dog yenye maana ya mbwa.!
Yule sheikh hajui hata maana ya fasihi then anakuja kudanganya watu kwa hoja dhaifu namna hii!
Hoja ni dhaifu mno mlizodanganyiwa!


Nimeipenda hii
 
Wakuu kuweni makini na nyimbo mnazoshabikia na kuzipenda bila kuskiliza kiundani verse zake hasa hizi za nnje mfano wimbo wa snoopy doggy doggy wa drop like is hot, kuna mahali anaimba, nanukuu WHEN YOU COME TO MY HOME YOU WILL SEE AM A BOSS BUT (DOGSINATAS) sasa hilo neno nililoweka bracket lisome kuanzia mwisho kwa maana kulia ukirudi kushoto, litasomeka (SATAN IS GOD) kuweni makini!

Yule mazinge wa Kenya keshakuharibuni tayari,kama ndo acha kutumia products za Lg,adidas,Nike,IBM,Dell, etc je unawajua wamiliki wake?
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Yule mazinge wa Kenya keshakuharibuni tayari,kama ndo acha kutumia products za Lg,adidas,Nike,IBM,Dell, etc je unawajua wamiliki wake?

Tatizo la hawa jamaa uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana na ndio maana wanakuja na hii "fallacy".
 
Yule mazinge wa Kenya keshakuharibuni tayari,kama ndo acha kutumia products za Lg,adidas,Nike,IBM,Dell, etc je unawajua wamiliki wake?

Amegundua kuwa hawa jamaa ni mamburula.
Sheikh anawatia uwongo huku yeye akiuza cd
 
Wakuu kuweni makini na nyimbo mnazoshabikia na kuzipenda bila kuskiliza kiundani verse zake hasa hizi za nnje mfano wimbo wa snoopy doggy doggy wa drop like is hot, kuna mahali anaimba, nanukuu WHEN YOU COME TO MY HOME YOU WILL SEE AM A BOSS BUT (DOGSINATAS) sasa hilo neno nililoweka bracket lisome kuanzia mwisho kwa maana kulia ukirudi kushoto, litasomeka (SATAN IS GOD) kuweni makini!

Kuwa Makini Na Wewe Usidanganywe kwakutojua Lugha za Wengine!
Huyo Mfasiri wa hizo nyimbo kaenda chaka Sikiliza Wimbo "NATURAL MYSTIC" Anavyo utamka na kuujazia Tafsiri za Uongo.
 
Wakuu Waislam Wenzangu Si Kila Mmvaa Kanzu Ni Sheikh,na Si Kila Shehe Analotamka Ni Sahihi.Tafakari kwa Utulivu Chukua Hatua!
 
Wakuu Waislam Wenzangu Si Kila Mmvaa Kanzu Ni Sheikh,na Si Kila Shehe Analotamka Ni Sahihi.Tafakari kwa Utulivu Chukua Hatua!
Tatizo wanachukua tafsiri juu, uislamu unasisitiza Elimu/kusoma muhimu , tena mnalazimishwa someniiiii, Hebu angalia hapa

Sura ya 96 inaitwa AL-ALAQI aya ya 1 hadi 5

IQRAABISMIRABIKA LADHII KHALAQA, QHALAQAL - INSAANA MIN ALAQI, IQRAA WARABUKAL AKRAMU, ALADHII ALAMA BIL QALAMI, ALAMAL INSAANA MAA LAM YAALAM


Wenyewe WAISLAMU wanajitia upofu
 
Hii ni sawa na kujadili maini ya nguruwe eti waislam msile! kwani hiyo nyama yake imeruhusiwa? unatahadharisha neno lililopo kwenye wimbo kwani uislam unasema nini juu ya nyimbo?
 
Hizi ni story za vijiweni tu,,kujaribu kulazimisha maana za vitu kwa hoja za vijiweni,,,kwanza katika dini ignorance of law is a good defence,,huwezi kutenda dhambi kama unalolifanya hulijui kama ni dhambi.

No brethren your not right: dhambi ni dhambi tu hata km hujui kwa kutenda ivo ni dhambi ndo maana kwenye bible imeandikwa " ktk enzi za ujinga wenu Mungu alijifanya km dhambi hazioni ila sasa anawagiza watu wote watubu" anaposema enzi za ukinga anamaanisha wakati ule ambapo kuna mambo mabaya ambayo mliyafanya hata bila kujua ni dhambi
 
Yule sheikh kawadanganya sana waislam.
Na ndio maana nasema waislam ni rahisi mno kudanganyika!
Kwanini ulisome hilo neno toka mwishoni na sio kama lilivyoandikwa?
If that the case,hata God kwa maana ya Mungu ni kufuru kwani ukilisoma kinyume nyume ni dog yenye maana ya mbwa.!
Yule sheikh hajui hata maana ya fasihi then anakuja kudanganya watu kwa hoja dhaifu namna hii!
Hoja ni dhaifu mno mlizodanganyiwa!

Na ukiwapa ubwabwa ndio umemaliza kazi utawadanganya upendavyo.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Back
Top Bottom