BOT Vacancies

BOT Vacancies

Applications zilikuwa maelfu na maelfu, wameona ni kazi ngumu sana kwao, na inasemekana mkulu wao Bwana Ndulu hataki ufisadi huo mnaousema wa kujuana hivyo wameamua kupeleka swala hilo Delloitte... vuteni subira sidhani kama kutakuwa na longolongo na hata zitakuwepo basi ni mdogo sana. NDulu hataki mchezo binafsi namuadmire sana huyu MZee Bot ya Kikwete imebadilika sio ile mnayoijua ni kazi na seriousness mtindo mmoja! Wakuu wa Mashirika ya Umma yote wangekuwa kama Ndulu nadhani tungesonga mbele sana. hasa haya mashirika ya MAfao!

Hahahaaaaaaaaaa! Umenifurahisha sana, u r deeply wrong humo kwenye red, things are much worse aisee, trust me in this one.
 
Applications zilikuwa maelfu na maelfu, wameona ni kazi ngumu sana kwao, na inasemekana mkulu wao Bwana Ndulu hataki ufisadi huo mnaousema wa kujuana hivyo wameamua kupeleka swala hilo Delloitte... vuteni subira sidhani kama kutakuwa na longolongo na hata zitakuwepo basi ni mdogo sana. NDulu hataki mchezo binafsi namuadmire sana huyu MZee Bot ya Kikwete imebadilika sio ile mnayoijua ni kazi na seriousness mtindo mmoja! Wakuu wa Mashirika ya Umma yote wangekuwa kama Ndulu nadhani tungesonga mbele sana. hasa haya mashirika ya MAfao!

Ni kweli tunawahitaji watu km Gov Ndullu watu ambao wako committed kusave interest za nchi, me mwenyewe nimepata habari/ushuhuda kutoka kwa mfanyakazi BoT kuwa saiz mambo yamebadilika kweli hata kwenye issue km za kuajiri, kikubwa ni kumwombea sana kwa Mungu abaki na msimamo wake.
 
Back
Top Bottom