Sanasana naliona moja zuri, la ujenzi wa reli! Miradi mingine yote aliikuta inaendelea, ilibuniwa na Kikwete, Yeye anaimalizia tu. Miradi kama ya flyovers, barabara na mingine ameikuta, anaimalizia!
Kikwete aliianzisha bila ya ghiliba za kuwafukuza maelfu ya watu kazi bila ya malipo kwa...