SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Hamjawaza options za kuchakachua?
- "Zamani" kama wife ana tatizo, unapewa mdogo wake au mke anaridhia mume kuoa mke mwingine. Bahati mbaya katika ukristo hili halikubaliki. Siku hizi naona wengi wa wanaume wanapiga nje na kupata mtoto kwa siri ama kwa uwazi.
- "Zamani" kama mume anatatizo, wazee wanatafuta namna ya mdogo mtu ama kaka anapewa shughuli ya kupachika mimba. Inaweza kuwa kwa siri bila mume kujua au mpango wa wazi ambao mume anajua. Mwisho wa siku lakini mtoto anakuwa wako. Siku hizi hii option ni ngumu, lakini kimantiki mimi bado naona ina busara ndani yake. Haiharibu ukoo.
NB: Nimeuliza tu ili kupanua mjadala na kuingiza vionjo vya african solutions, sijakushauri chochote. Infantry Soldier
- "Zamani" kama wife ana tatizo, unapewa mdogo wake au mke anaridhia mume kuoa mke mwingine. Bahati mbaya katika ukristo hili halikubaliki. Siku hizi naona wengi wa wanaume wanapiga nje na kupata mtoto kwa siri ama kwa uwazi.
- "Zamani" kama mume anatatizo, wazee wanatafuta namna ya mdogo mtu ama kaka anapewa shughuli ya kupachika mimba. Inaweza kuwa kwa siri bila mume kujua au mpango wa wazi ambao mume anajua. Mwisho wa siku lakini mtoto anakuwa wako. Siku hizi hii option ni ngumu, lakini kimantiki mimi bado naona ina busara ndani yake. Haiharibu ukoo.
NB: Nimeuliza tu ili kupanua mjadala na kuingiza vionjo vya african solutions, sijakushauri chochote. Infantry Soldier