Quemu,
wenye akili timamu tumekuelewa, acha kujibizana na hao mahayawani, hii ndo JF kuna wenyenazo na hamnazo wala usishangae, wao huongozwa na jazba katika kutoa michango yao ya mawazo.
Usafi ni tabia ya mtu, Kama Mengi angekuwa na tabia hiyo basi mazingira ya ofisi zake yangekuwa mfano.