Recent content by Bebeku

  1. B

    NI KITU GANI HUWA KINAKUSHANGAZA(au pengine unaona ni cha pekee) kwa MWENZI WAKO?

    Kweli wanatofautiana sana, mi mpenzi wangu anaomba mpaka kuna wakati naogopa kupokea simu yanahisi ataniomba twende tuka-do!!
  2. B

    Wapwa na mabinamu zangu nisaidieni kufanya uchaguzi

    Kwanini usitumie njia nyingine kama vile kupiga mashuti nje ya goli! au huwa hujiwezi?
  3. B

    Hii ndio Kinondoni bwana!!

    Yaani Kinondoni jirani yako kama sio shoga ni Changu au Kibaka....endelea!!
  4. B

    TATA bovu for sale

    Nauza TATA min buss bovu, linawafaa zaidi wanaofanya biashara ya kuuza spare za magari, maana lilipata ajali. Pia hata kwa anaweza kulinyoosha linaweza kumfaa pia maana injini ipo safi sana na ina nguvu na puling nzuri. Mteja ani PM
  5. B

    Haaaa Mzee Mengi!!

    Quemu, wenye akili timamu tumekuelewa, acha kujibizana na hao mahayawani, hii ndo JF kuna wenyenazo na hamnazo wala usishangae, wao huongozwa na jazba katika kutoa michango yao ya mawazo. Usafi ni tabia ya mtu, Kama Mengi angekuwa na tabia hiyo basi mazingira ya ofisi zake yangekuwa mfano.
  6. B

    GE2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

    Hivi lile ni baraza la wazee wa CHADEMA au wazee wa kaskazini? Hii ndo sumu pekee inayoiangamiza CHADEMA, Zitto jikalie pembeni watakuwangwe hao!!!!
  7. B

    Naombeni Msaada

    Hayo ndo matatizo ya kupekua simu za watu, unakutana na msg unashindwa kuzielewa kwa kuwa sio zako. kumbukeni hizo ni simu za mkononi na sio za familia. Sahau ulichokiona, kafunge ndoa, vinginevyo utakuja juta, waoaji ni wachache sana hapa mtaani.
Back
Top Bottom