Recent content by beautifullylikehermom

  1. beautifullylikehermom

    Nabii kutoka Nigeria ashinda mkanda baada ya kumpiga shetani

    Sisi tutajuaje kama n kweli alimtwanga sheitwan? Na huo mkanda ni Nani alimtunukia??
  2. beautifullylikehermom

    Huyu ni nani anayejiamini kuongea chochote nchi hii?

    Huyu ni Yule jamaa huwa anachambua mapenz channel ten akiwa anarusha rusha mpira?
  3. beautifullylikehermom

    Mke wangu na baba yake wanatumiana picha za uchi!

    Mmh! mambo mengine kwenye hii dunia yanatia kinyaa.
  4. beautifullylikehermom

    Kwanini wanawake hawaridhiki na wenza wao?

    Kwani ninyi wanaume huwa mnaridhika? Au mkuki ni mtamu kwa nguruwe kwa binadamu ni mchungu?
  5. beautifullylikehermom

    Ni kitu gani cha kijinga ambacho kinaaminiwa na kundi kubwa la watu

    Kwamba Mwenyezi Mungu alisema mwanaume aoe wanawake wanne
  6. beautifullylikehermom

    Ni jambo gani linakukera kwenye Redio za Tanzania?

    [emoji3][emoji3][emoji3] Tatizo watu wanaochukuliwa kwenda kutangaza wanakuwa hata hiyo taaluma ya utangazaji hawana , wanaokotwa okotwa tu ndiyo maana tunasikiliza vioja tu.
  7. beautifullylikehermom

    Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

    Aisee Mimi ni mshamba mwenzako Mimi haya Mambo yalinishinda kabisa.
  8. beautifullylikehermom

    Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

    Nawachukia watu wenye tabia number 1&2[emoji3525] Number 3[emoji28][emoji28][emoji28]
  9. beautifullylikehermom

    Penzi la Diamond na Tanasha liko ICU

    [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] yamekuwa haya tena Sent using Jamii Forums mobile app
  10. beautifullylikehermom

    Ukitaka kujua kuwa mpenzi wako ana sifa ya kuitwa mke/mume,fanya yafuatayo

    Kwenye kuoa au kuolewa kila mtu ana kipaumbele chake na sifa zake anazozitaka yeye. Hii ni ya kwako, kwa wengine siyo sababu ya kumuweka mtu ndani. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. beautifullylikehermom

    Nilichokiona kwenye simu ya mdogo wangu wa kike! So sad!

    Kama ulishachezea wadogo za wenzio hayo ndiyo malipo yake mkuu. Malipo ni hapa hapa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. beautifullylikehermom

    Hivi kuna watu huwa hawana kivuli?

    Huyu YIB 2 huwa naona matukio anayoreport mengi yanakuwa yamenaswa na CCTV camera mkuu, machache yanakuwa yamepigwa picha na watu. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. beautifullylikehermom

    Mabinti bikra zenu huwa zinatolewa na viumbe gani?

    Wewe ni bikra? Mtu hupewa kile anachostahili. Sasa usitegemee kukutana na bikira wakati wewe mwenyewe ni funua funua. Kwa kifupi endelea kusuburi embe chini ya mnazi! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom