[emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo watu wanaochukuliwa kwenda kutangaza wanakuwa hata hiyo taaluma ya utangazaji hawana , wanaokotwa okotwa tu ndiyo maana tunasikiliza vioja tu.
Kwenye kuoa au kuolewa kila mtu ana kipaumbele chake na sifa zake anazozitaka yeye. Hii ni ya kwako, kwa wengine siyo sababu ya kumuweka mtu ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu YIB 2 huwa naona matukio anayoreport mengi yanakuwa yamenaswa na CCTV camera mkuu, machache yanakuwa yamepigwa picha na watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni bikra? Mtu hupewa kile anachostahili. Sasa usitegemee kukutana na bikira wakati wewe mwenyewe ni funua funua. Kwa kifupi endelea kusuburi embe chini ya mnazi!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.