Hell2Heaven
Senior Member
- Mar 3, 2021
- 166
- 452
Wanajamii,
Huyu jamaa ni mtanzania au mkenya? maana ana jiamini na anaongea live bila chenga kwamba kuna mawaziri wana mhujumu Raisi na Hawampendi Samia ila wana msabotage kujiandaa na ichaguzi wa 2025, naanasema hata anajua siri nyingi za kumuangusha mama Samia, na nimpango wa MaDED, Wakuu wa mkoa, na Mawaziri walio karibu na Raisi ila wanajifanya kumsaidia mama ila ukweli wana mtandao maalumu wa kumhujumu Rais kwa siri iliaonekane kashindwa
Na ameenda mbali zaidi anasema kun mawaziri wanamchukia Mama Samia sana ila wana pretend mbele yake ila kiuhalisia wanatamani sana hata waziri mkuu asiwe Majaliwa. Sasa najiuliza kama ndivyo na mtu huyu anaongelea kwenye TV live je Vyombo vya usalama vinachukua atua gani?
Je, huyu mtu ni nani? Mwenye profile yake anisaidie tafadhali.
Huyu jamaa ni mtanzania au mkenya? maana ana jiamini na anaongea live bila chenga kwamba kuna mawaziri wana mhujumu Raisi na Hawampendi Samia ila wana msabotage kujiandaa na ichaguzi wa 2025, naanasema hata anajua siri nyingi za kumuangusha mama Samia, na nimpango wa MaDED, Wakuu wa mkoa, na Mawaziri walio karibu na Raisi ila wanajifanya kumsaidia mama ila ukweli wana mtandao maalumu wa kumhujumu Rais kwa siri iliaonekane kashindwa
Na ameenda mbali zaidi anasema kun mawaziri wanamchukia Mama Samia sana ila wana pretend mbele yake ila kiuhalisia wanatamani sana hata waziri mkuu asiwe Majaliwa. Sasa najiuliza kama ndivyo na mtu huyu anaongelea kwenye TV live je Vyombo vya usalama vinachukua atua gani?
Je, huyu mtu ni nani? Mwenye profile yake anisaidie tafadhali.