Recent content by bazila

  1. bazila

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Mbunge wa Kibamba, John Mnyika akwaa adhabu kwa utovu wa nidhamu

    Mnyika angetulia hakukua na haja ya kujibizana ma spika
  2. bazila

    JamiiForums Tanzania ACACIA: We declare everything of commercial value that we produce and pay all appropriate taxes

    Acacia wapewe masaa 24 waondoke haraka na lile jengo pale victoria watuachie liwe mali yetu
  3. bazila

    JamiiForums Tanzania Jipatie viatu classic kwa bei sawa na bure

    Maana yake nn unaweka bidhaa huweki. Au ni mapamb?? Huweki location.?
  4. bazila

    JamiiForums Tanzania Bajeti ya Maji kizungumkuti

    Habari ya wikiend, naimani sote tu wazima wa afya. Maji ni janga la kitaifa. Hakuna asiejua umuhimu wa maji ktk maisha. Maji ni uhai na pasipo maji hakuna uhai wa watu na mimea pia. Sasa serikali imetenga sh 914 bilion kwaajili ya wizara ya maji na ktk pesa hizo kuna 624 bilion za maendeleo ya...
  5. bazila

    JamiiForums Tanzania Narudia tena kukwambia Maalim Seif

    Napata ukakasi na kisomo chako na elimu yako ya kupambananua mambo. Huoni Lipumba anawavuruga watu. Futa andiko lako au lekebisha.
  6. bazila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ndo madhara ya kuwaachisha kazi wake zenu

    Sio mchezo haya mambo
  7. bazila

    JamiiForums Tanzania Mkubali mkatae Lema 'jembe' sana. Mbowe huaminiki vya kutosha basi tu

    Umesema vyema
  8. bazila

    JamiiForums Tanzania Nauza vitu vyangu vya ndani

    TV bei gani na ni inch ngapi?
  9. bazila

    JamiiForums Tanzania Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Okoka na achana na uganga maana vyote hvyo ni uongo sa shetan. Mkubali Yesu kua ni Bwana na mwokozi wa maisha yako ndio salama yako.
  10. bazila

    JamiiForums Tanzania Paypal: Upotevu wa mapato na ajira Tanzania

    Mkuu mada hii imenigusa sana maana nilikua nikinunua vitu toka marekan kupitia ebay na amazon lakini pia alibaba na alixpress wakati hua nikiwaza bidhaa za kuwauzia, sikujua kua hatujajiunga na paypal system. Hii ni hatari kwa ukuaji wetu kibiashada na km Serikali yetu ni sikivu naomba ifanyie...
  11. bazila

    JamiiForums Tanzania Mramba na Yona waongezewa adhabu. Sasa wapewa kazi za ofisini!

    Haina tofauti na kamishana wa TRA kubebe ndoo akiwa wanatoka mahamani na wenzie
  12. bazila

    JamiiForums Tanzania Sakata la Madaktari kupigwa.

    Habari zenu wana jamvi. Swala la madaktari kupigwa na mdugu wa wagonjwa limekua likizidi kuota mizizi na imekua tatizo la kupelekea baadhi ya madaktari hususa ni wanawake kufanya kazi kwa hofu na kupeleka wengine kutotimiza wajibu wao kitaaluma. Ningependa tukoa lai kwa ndugu wananchi na...
Back
Top Bottom