super nova
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 1,478
- 1,099
duh kweli wewe ufipa mind..Nimekuja mbio nikajua unauza utumbo, maini, filigisi, figo n.k maana ndo vitu vyako vya ndani....kumbe furniture dah
duh kweli wewe ufipa mind..Nimekuja mbio nikajua unauza utumbo, maini, filigisi, figo n.k maana ndo vitu vyako vya ndani....kumbe furniture dah
Serious mkuu hiyo friji inahitajika.. Tunakulipia na transporthaupo "siriazi" wewe

Utoto unakusumbua sana,jitathimini kijana....
Jitathimini tu,utaelewa ninachomaanisha...Utoto kivipi wewe??
wew jamaa ni mjinga kabisa.......nisamehe lakinNimekuja mbio nikajua unauza utumbo, maini, filigisi, figo n.k maana ndo vitu vyako vya ndani....kumbe furniture dah
Lakini mkuu si umemwambia ukweli tu, akikasirika na mimi nitarudia kumuita hivowew jamaa ni mjinga kabisa.......nisamehe lakin
Mkuu unahamia mkoa gani!? Maana siku hizi kuna fuso nyingi tu zinaenda mikoan empty kubeba mizigo, ungetafuta zikusafirishie kuliko kuuza.Nahamia mkaoni ndugu zangu,nimepata ulaji mkoani ndugu