Recent content by baxter

  1. baxter

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Nataka kioo cha Xs Max icloud Chap nalipia muda huu. Kwa mwenye anajua au anazo aje fasta. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. baxter

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Nitakucheki chief. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. baxter

    Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Saiv wstaalam wengi na wengi wao wameingilia soko la ujenzi bila kuelewa ujenzi wenyewe mwishowe wanapewa kazi wanakimbia.so client kuweni makini na hilo.
  4. baxter

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hatimae harusi ya sportpesa jackport imefanyika jana ,,sio poa
  5. baxter

    Messi hawezi kuwa Bora Nje ya Barcelona

    Punguza mapenzi,,,mess kweli hawezi kuwa vizuri akiwa nje barca,atoke akacheze club tofauti tofauti ili tuone vitu vyake vigeni
  6. baxter

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sportpesa jackport inawasalimia
  7. baxter

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Watu ufahamuni mpira jaman. Huwa kila kikicha unabadilika badilika ndio maana cr7,mess,,kila siku hawawezi kukupa Yale Yale uwanjani na wao hubadilika na mambo yakiwa hayamfai anabaki katika form yake so upande wa salah nakataaa MTU akinambia ameflop kwanza namwona huyo analeta ushabiki wa mess...
  8. baxter

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Salah hajaflop mm nakataaa usiendeshwe na mshabiki za man utd ,,game change ukiangalia msimu huu ulikuwa mgumu sana kwamfano utasema aguero kaflop starling ameimprove au!?? Mpira saivi umekuwa wakasi na mgumu ndio maana hata top score wote wanachezea goal 22 ukilinganisha na msimu uliopita top...
  9. baxter

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Huyu pain killer ana mambo ya kujikoshakosha kama malaya
  10. baxter

    Basi zuri kwa Dar - Arusha

    Gari hizi ukiwa hunaaraka unataka fika SAA nne , tano usiku panda mbaazi
  11. baxter

    Wale wanaotaka kazi kupitia jf

    Hahahahaha
  12. baxter

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Fainal ya poch ataiona ya ajabu sana...yani klop mapema anamkalisha pochi easer sana,,kama ukileta unyumbu na hoja zako za chini ya kitanda umefel
  13. baxter

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Fainal ya poch ataiona ya ajabu sana...yani klop mapema anamkalisha pochi easer sana,,kama ukileta unyumbu na hoja zako za chini ya kitanda umefel
  14. baxter

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kwani huyo poch amemfunga klop Mara ngapi na alishabeba nini tangu umjue!??
  15. baxter

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Tuliza mtori wewe mpira utakuwaulijua kwene google tu,,YNWA uefa inakuja anfield
Back
Top Bottom