punctualHii pia ni nzuri sana, hatojuta halafu wako punction.
punctualHii pia ni nzuri sana, hatojuta halafu wako punction.
Hilo eneo anga la uzinzi limetanda.Halafu huo mtaa ulivyojaa Guest House....duuh
Asante Mkuu.punctual
Hahahaha yaan nazimiss ligi za buffalo na ngorika ile mbaya. Hahahahah life was soo beautiful back then. Mambo ya kuburuzana tuu. Ila mnyama buffalo wacha kbs. HahahaUmemiss ligi za buffalo na ngorika?
Happy nation ukipanda jiandae kwenye hotel chafu haki utaharsha usipande kabisha hata kimotco heri kidia oneiTahmeed
Happy Nation
Kilimanjaro express
Dar express
kweli?Mkuu, we are here to pass, nothing lasts forever, everything is risky.
Chukua ngoma hiyo uwahi saa kumi unusu upo Mianzini.
Kuna kipindi ngorika ilikuwa ukifikisha tiketi 20 au 25(sikumbuki vizuri), unpata trip ya offa.Umemiss ligi za buffalo na ngorika?
Kweli wapo vizuri, kabisa kuanzia stand yao pale ubungo ni kiwango fulani japo ndogoMarangu Coach
Trip 25 kwa muda gani?Kuna kipindi ngorika ilikuwa ukifikisha tiketi 20 au 25(sikumbuki vizuri), unpata trip ya offa.
MBAZI LA KIJANI
View attachment 964224
Pandeni bus luxury unasafiri comfortably hivyo vibus njaa njaa ni hataree mara mende mara wapiga debe mara Makonda mia yaani ni vurugu tupuchukua chatco au ngorika
Iliisha isha hiyo ilikuwa mwa 2012 mpaka 2014 kama sikosei. wakati huo bado magari yana mbioTrip 25 kwa muda gani?
Mabasi ya watani zangu wapare yamekaa kibahili sana (wanalazimisha siti 63) tofauti na magari kama Tahmeed (abiria 37)Iliisha isha hiyo ilikuwa mwa 2012 mpaka 2014 kama sikosei. wakati huo bado magari yana mbio