Recent content by bawad sabas

  1. B

    Choo kurudisha harufu ndani. Je, vyoo vya kukaa ni bora kuliko vya kuchuchumaa?

    Asseh tuwen makini na hawa mafundi Binafsi iliwahi nikuta hiyo jam ilinibidi nibomoe waset upya
  2. B

    Kwa Picha:Je, wajua ya kwamba choo cha kuchuchumaa ni kizuri zaidi kwa afya ya mwili kuliko choo cha kukaa?

    Mi nadhan ni mkao tu ndo unatatanisha Mkao wa kukaa wakati wa kujisaidia unaweza utumia hata wakati wa kuchuchumaa. Ni swala la kubinua au kukunja kiuno
  3. B

    Mzee Makamba azungumzia suala la kuupiga mwingi amtaja Bashiru

    Halafu mpiga picha sasa anavyomcholesha ndo usipime
  4. B

    Mzee Makamba azungumzia suala la kuupiga mwingi amtaja Bashiru

    Halafu mpiga picha sasa anavyomcholesha ndo usipime
  5. B

    Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

    Leo ndo nimepata somo Nimewahi ulizia probox succeed yenye manual transmission Aseeeeeh huwezi amini........... Niliambiwa sh mil 22 Huyo jamaa nilimwambia acha matani kazini yaan probox unaniuzia mil 22 je harrier utaniuzia bei gan.... Jamaa hakujibu tena Ni wazi Dar uuni umezidi watu wnataka...
  6. B

    Ushauri: Gari ya milioni 60

    Duh haya maisha kuna watu wanayapatia Binafsi baskel ya phoenix inaniwazisha namna ya kupata pesa nikainunua
  7. B

    JamiiForums Usiku wa manane

    Wakat niko single.. Nilikuwa nikishtuka usingizin nilikuwa najiwazia NINGEKUWA NIMEOA NINGEMWAMSHA WIFE TUKASEX AU STORY MPKA NTAKAPOLALA.. ila imekuwa tofaut wife anakoloma binafsi napamban na simu tu.
  8. B

    Dah haya makabila ni hatari kweli! Je huu sio unyanyasaji?

    Hujalazimishwa.. Na pia sijaona sehem ikisema umelazimishwa hivyo ni maamuzi yako
  9. B

    Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

    Endelea kusubiri japo afikishe miaka 30 labda utakuwa umejitambua na unajua nini cha kufanya
  10. B

    Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

    Tatizo ni huyo mke wako.... Na ww mwanaume kuna sehemu unaloose kama mwanaume..
  11. B

    Mke wangu ameniacha njiapanda

    Hizi ndoa jamani dah Pole mwana.. Kwa sasa tulia usichukue maamuzi. Binafsi sinario kama hizo huwa naamua kukaa kimya baada ya kumweleza ukweli kisha najiandaa na pia najipanga kumuacha. Kumbuka kumuacha mwanamke unayeishi naye sio jambo jepesi
  12. B

    Najuta kuoa huyu mke wangu Adelina

    Sasa ww mke wako unamsifia hadharani/humu jf unategemea nini? Haina tofaut na mtu anayetangaza biashara.. Mke ni wako sifa n.k ni ww na yeye kupeana huko chumban sio hadharani.. Pole sana kaka Vumilia tu huyo ni wako
Back
Top Bottom