Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

Naombeni ushauri kuhusu binti huyu

Duuh mwamba kwaiyo unaoga nae picha tu toka ana miaka 21 mbichi mpka leo ana 27 qnaenda ukingoni hujala kitU 🤣🤣
Mwambie wewe mwanamke labda atakuelewa, huwa nachukia sana napoona mwanaume mwenzangu anageuzwa fala.
 
Unajua kwa nn hataki umtombe? Kwa sababu amekudanganya yeye ni bikira wakati sio hapo ndio hofu yake ilipo. Ila ukioa hata ukikuta sio bikira huna ujanja tena
 
Pole sana ndugu yangu wadada wa kichaga wanangalia zaid walet funguka toa kibunda atakuelewa tuu.
 
Mi kuna demu alikuwa analeta pigo hzo sijui anadai bikra hatoi mzigo mpaka nimuoe wakati nilikuwa namuhudumia nikamwambia sawa kila mtu akachukua hamsini zake alivyoona nipo serious eti anasema nilikuwa nakutania we are no longer together ame beep nikampigia.
 
Inawezekana ana udhaifu fulani hususani maeneo IKURU, kuwa makini sana usije jutia udhaifu huo baada ya kuweka ndani. BTW Chapa lapa hamna kitu hapo
 
Ww ndio utakua bikra Ila sio yeye
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia
 
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Achana na huyo mzee utakuja kulia.
Analiwa na boya mwingine
 
Wakuu habarini,

Awali ya yote mimi siyo mwandishi mzuri sana wa mada, ila angalau nitajitahidi hivyo hivyo mnielewe.

Ipo hivi, mimi niko kwenye mahusiano na binti mmoja kabila ni Mchaga. Kinachonichanganya huyu binti niko naye kwenye mahusiano tangu 2016 ila mpaka leo hajawahi kunipa mbususu!

Kila nikimwomba anadai nimuoe kwanza, sasa si kwamba hatujawahi kukutana ila tulishakutana mara nying sana japo sijawahi kufanyanaye mapenzi. Japo pia ananilalamikia sana simhudumii kama mke wake, anataka niwe natoa matumizi kama nampenda na ukiangalia kunipa mbususu anakuwa mbishi sana. Ni binti mkubwa tu miaka yake 27.

Sasa nipeni ushauri wadau, vipi hapa nisubri mpaka ndoa na niendelee kuhudumia?
Yale hayakua mapenzi
 
Endelea kusubiri japo afikishe miaka 30 labda utakuwa umejitambua na unajua nini cha kufanya
 
Hii kitu ni uongo aisee juba Hawa watu 18 mpaka 22 wengine ni wamaza tayari so sio mabinti wadada ni wale wasioolewa hata akiwa 50+ ni mdada hadi azae ndio mama
Ah ah Mkuu hii ni kutokana na muongozo wa UBAWATa Mkuu
 
Hiyo miaka yote haujawahi kupiga....au kuna chocho unajipoza?
 
Back
Top Bottom