Recent content by BAVICHA Taifa

  1. BAVICHA Taifa

    BAVICHA: Taarifa kwa Umma

    Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) tunalaani kitendo cha Serikali kuvunja vibanda vya wafanyabiashara/wajasiriamali wadogo katika Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam. Tukio hili ni la kinyama na halina utu ndani yake kwani limewasababishia vijana wengi umasikini na ufukara baada ya...
  2. BAVICHA Taifa

    Taarifa kwa Umma

    Kuhusu adhabu iliyopewa chombo cha Habari cha Zama Mpya TV
  3. BAVICHA Taifa

    Salamu za pole

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea Kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa Chama cha TLP Taifa Augustino Lyatonga Mrema. Tunatoa pole Kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki, wanachama wa TLP na watanzania wote kwa msiba huu mzito. Tutamkumbuka Mzee Mrema kwa...
  4. BAVICHA Taifa

    CHADEMA Kufungua kesi Mahakamani kupinga Jeshi la Polisi ‘kumteka’ Twaha Mwaipaya

    Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) limesikitishwa kuendelea kushikiliwa kwa Mratibu wa Uhamasishaji Bavicha Taifa Ndugu Twaha Mwaipaya na Jeshi la Polisi. Twaha Mwaipaya alikamatwa Juni 30, 2022 na Jeshi la Polisi Morogoro mjini, ambao kesho yake ya Julai Mosi, 2022 walidai kuwa amesafirishwa...
  5. BAVICHA Taifa

    Tamko la kuipongeza CHADEMA na viongozi kwa kukutana na Rais Samia

    CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA). MKOA WA SHINYANGA. TAARIFA KWA UMMA NA VYOMBO VYA HABARI. YAH: TAMKO LA KUIPONGEZA CHADEMA NA VIONGOZI KWA KUKUTANA NA MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN. Mnamo, Mei 20, 2022 Ujumbe wa Chama ukiongozwa na Mwenyekiti CHADEMA Taifa Mhe Freeman Mbowe...
  6. BAVICHA Taifa

    Kauli ya Tundu Lissu juu wabunge 19 waliofukuzwa

    Mbunge anapopoteza sifa ya kuwa mbunge, whether kwa kufukuzwa uanachama au kwa sababu nyingine yoyote, hastahili kuendelea kuwa mbunge kwa siku moja zaidi. Na hali hiyo inaendelea hadi hapo Mahakama Kuu, au Mahakama ya Rufaa ya Tanzania, itakapoamua vinginevyo. Mimi nilivuliwa ubunge na Spika...
  7. BAVICHA Taifa

    Freeman Mbowe akutana na Raila Amolo Odinga

    Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe leo amekutana na Mheshimiwa Raila Amolo Odinga, Mgombea Urais wa Muungano wa Azimio la Umoja na Mheshimiwa Martha Karua, Kiongozi wa Chama cha NARC Kenya Jijini Nairobi. Kupitia kwao, Mheshimiwa Mbowe amewataka Wakenya wote kushikamana kuhakikisha...
  8. BAVICHA Taifa

    Salamu za pole na rambirambi kufuatia vifo vya watu 14

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa taarifa ya vifo vya watu kumi na nne (14), baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa katika msafara wa mkuu wa mkoa wa Mwanza Robert Gabriel kugongana na gari la abiria aina ya Hiace katika eneo la...
  9. BAVICHA Taifa

    CHADEMA - Tume Huru ya Uchaguzi na Uchaguzi wa Haki

    1. UTANGULIZI Mipango ya nchi nyingi dunia inaendelea au inaparaganyika kutokana na uimara wa Katiba zinazoongoza nchi hizo. Katiba imara inatokana na kuwa na Chombo imara kinachosimamia uchaguzi wa kupata viongozi wake kwa kuanzia ngazi ya chini hadi ya juu. Chaguzi nyingi duniani zinagubikwa...
  10. BAVICHA Taifa

    Azimio la vyama vya siasa kuadhibiana

    Mosi, kuna azimio linalosema sasa uwekwe utaratibu wa Baraza la Vyama kutatua migogoro ndani ya vyama. Pili, uwekwe utaratibu wa vyama kuadhibiana unapokiuka utaratibu wa mikutano ya hadhara, pale tu ni kengele ya hatari. Kwenye Uchaguzi Mkuu kuna kitu kinaitwa maadili ya Uchaguzi Mkuu, wakati...
  11. BAVICHA Taifa

    Kalamu ya Mwl. John Pambalu

    Wakati Mhe. Rais yuko busy Zanzibar kurekodi matangazo ya kuvutia watalii. Wenye watalii wao wako busy Kisutu kuhudhuria Kesi ya Mhe. Freeman Mbowe ili kuona Haki inatendeka. Leo wakati Mhe. Mbowe anafikishwa mahakamani kuhuduria kesi aliyofungua dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria mkuu wa...
  12. BAVICHA Taifa

    CHADEMA kutohudhuria hafla fupi ya kukabidhi taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020

    Tumepokea mwaliko kutoka Kwa Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Kwa ajili ya Mwenyekiti Taifa, Katibu Mkuu, aliyekuwa mgombea urais na aliyekuwa mgombea wa umakamu wa urais kuhudhuria hafla fupi ya kukabidhi kwa Rais taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Chama kupitia barua ya Katibu...
  13. BAVICHA Taifa

    Tamko la CHADEMA kuhusu uteuzi wa Biswalo Mganga kuwa Jaji wa Mahakama Kuu

    Itakumbukwa kwamba tarehe 11.05.2021 Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu alitangaza uteuzi wa nafasi za Majaji wa Mahakama ya Rufani pamoja na Mahakama Kuu ya Tanzania uliofanywa na Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan. Kutokana na unyeti wa nafasi hizo katika kusimamia haki nchini tumeona ni muhimu kusema...
  14. BAVICHA Taifa

    Tamko la BAVICHA kuhusu ajira za hivi karibuni kwa Kada za Afya na Ualimu

    Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) Mei 09, 2021 imetangaza ajira za Watumishi wa Kada mbalimbali za Afya 2,726 kwa ajili ya Hospitali za Halmashauri, vituo vya afya na Zahanati pamoja na Walimu 6,949 wa Shule za Msingi na Sekondari watakaofanya kazi chini ya...
  15. BAVICHA Taifa

    BAVICHA: Tumesikitishwa na tunalaani kitendo cha BASATA kuufungia wimbo wa ‘MAMA'

    Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) tumesikitishwa na tunalaani kitendo cha Baraza la Sanaa la Tanzania (BASATA) kuufungia wimbo uitwao ‘MAMA’ ulioimbwa na Msanii wa Mziki wa Kizazi Kipya, Emmanuel Elibariki (Ney wa Mitego). Mbali ya kuufungia wimbo huo, Basata limemwagiza kusitisha mara moja...
Back
Top Bottom