Taarifa kwa Umma

Taarifa kwa Umma

BAVICHA Taifa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
117
Reaction score
662
Kuhusu adhabu iliyopewa chombo cha Habari cha Zama Mpya TVView attachment 2351659
zamatv-1.jpg
 
Zana ya habr hii Ni ipi mbna sielewi nin kimetokea had chadema kuijia juu serekali dhidi ya tcra
 
Aina za madikteta katika zama za Sasa.
* Wanaofoka na kukaripia watu hadharani huku wakifanya ya udikteta
*Wanaoongea kwa upole na lugha laini huku wakifanya ya udikteta
 
Endelea kutukana ukisema ni uhuru..

Kimsingi mjinga hatakiwi kupewa uhuru..
Kwa maoni yako kuna mtu maalum mwenye mamlaka ya kugawa/kuwapa watu uhuru?

Huyu mtu mamlaka haya kayapata kutoka wapi?

Na zaidi ya yote; ni yupi mjinga kati ya huyo anayenyima watu (wajinga) uhuru wao, na hao unaowaita wajinga ambayo huyo mwenye madaraka anatakiwa awaondolee ujinga wao kwa kuwaelimisha badala ya kuwanyima haki ya uhuru wao?
 
Kwa maoni yako kuna mtu maalum mwenye mamlaka ya kugawa/kuwapa watu uhuru?

Huyu mtu mamlaka haya kayapata kutoka wapi?

Na zaidi ya yote; ni yupi mjinga kati ya huyo anayenyima watu (wajinga) uhuru wao, na hao unaowaita wajinga ambayo huyo mwenye madaraka anatakiwa awaondolee ujinga wao kwa kuwaelimisha badala ya kuwanyima haki ya uhuru wao?
Yupo ambae ni tcra kama alivyopewa mamlaka na sheria na katiba
 
Back
Top Bottom