BAVICHA: Taarifa kwa Umma

BAVICHA Taifa

Senior Member
Jul 25, 2013
117
661
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) tunalaani kitendo cha Serikali kuvunja vibanda vya wafanyabiashara/wajasiriamali wadogo katika Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam.

Tukio hili ni la kinyama na halina utu ndani yake kwani limewasababishia vijana wengi umasikini na ufukara baada ya bidhaa zao kuchukuliwa na mgambo wa jiji waliyokuwa wakiendesha operesheni ya kuvunja vibanda vyao.

Ikumbukwe kuwa Serikali imeshindwa kutoa ajira kwa mamilioni ya vijana wanaomaliza vyuo na shule mbalimbali hapa nchini kwa muda mrefu, inasikitisha kuona kuwa vijana wanapojitahidi kujiajiri wenyewe, Serikali inawaumiza badala ya kuwasaidia ili waweze kujikwamua na ugumu wa maisha.

Tunaitaka Serikali ieleze hawa vijana wamachinga eneo lao la kufanyia biashara liko wapi? na je, Kariakoo siyo kwa ajili ya vijana wa Kitanzania? Nani mwenye haki na Soko la Kariakoo?

Kitendo hiki kinaweza kusababisha ongezeko la uhalifu mitaani kwani hawa vijana hawatakuwa na kazi na hivyo kukosa kipato cha kujikimu.

Serikali iweke miundombinu ya vijana kujiajiri na kamwe isiwe kikwazo kwa vijana kujikwamua kiuchumi.

Imetolewa leo Disemba Mosi, 2022.

Apolinary Boniface,
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano BAVICHA.
 
Biashara za kariakoo sikuhizi hakuna vibanda zaidi ya meza Tu hiyo mitaa yote ya kariakoo kuanzia tandamti, sikukuu, Pemba na mafia kuna mgambo wengi Toka asubuhi kiasi kwamba hata pipi hauwezi kuuza
 
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) tunalaani kitendo cha Serikali kuvunja vibanda vya wafanyabiashara/wajasiriamali wadogo katika Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam.

Tukio hili ni la kinyama na halina utu ndani yake kwani limewasababishia vijana wengi umasikini na ufukara baada ya bidhaa zao kuchukuliwa na mgambo wa jiji waliyokuwa wakiendesha operesheni ya kuvunja vibanda vyao.

Ikumbukwe kuwa Serikali imeshindwa kutoa ajira kwa mamilioni ya vijana wanaomaliza vyuo na shule mbalimbali hapa nchini kwa muda mrefu, inasikitisha kuona kuwa vijana wanapojitahidi kujiajiri wenyewe, Serikali inawaumiza badala ya kuwasaidia ili waweze kujikwamua na ugumu wa maisha.

Tunaitaka Serikali ieleze hawa vijana wamachinga eneo lao la kufanyia biashara liko wapi? na je, Kariakoo siyo kwa ajili ya vijana wa Kitanzania? Nani mwenye haki na Soko la Kariakoo?

Kitendo hiki kinaweza kusababisha ongezeko la uhalifu mitaani kwani hawa vijana hawatakuwa na kazi na hivyo kukosa kipato cha kujikimu.

Serikali iweke miundombinu ya vijana kujiajiri na kamwe isiwe kikwazo kwa vijana kujikwamua kiuchumi.

Imetolewa leo Disemba Mosi, 2022.

Apolinary Boniface,
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano BAVICHA.
Hivi hawa bar za vichaa Bado wapo na watu wanawasikiliza

USSR
 
Biashara za kariakoo sikuhizi hakuna vibanda zaidi ya meza Tu hiyo mitaa yote ya kariakoo kuanzia tandamti, sikukuu, Pemba na mafia kuna mgambo wengi Toka asubuhi kiasi kwamba hata pipi hauwezi kuuza
Hawa bar za vichaa walisema jpm anawaruhusu mchinga kila Kona wanachafua miji Leo Samia anafanya waliotaka wanalia Lia Tena


USSR
 
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) tunalaani kitendo cha Serikali kuvunja vibanda vya wafanyabiashara/wajasiriamali wadogo katika Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam.

Tukio hili ni la kinyama na halina utu ndani yake kwani limewasababishia vijana wengi umasikini na ufukara baada ya bidhaa zao kuchukuliwa na mgambo wa jiji waliyokuwa wakiendesha operesheni ya kuvunja vibanda vyao.

Ikumbukwe kuwa Serikali imeshindwa kutoa ajira kwa mamilioni ya vijana wanaomaliza vyuo na shule mbalimbali hapa nchini kwa muda mrefu, inasikitisha kuona kuwa vijana wanapojitahidi kujiajiri wenyewe, Serikali inawaumiza badala ya kuwasaidia ili waweze kujikwamua na ugumu wa maisha.

Tunaitaka Serikali ieleze hawa vijana wamachinga eneo lao la kufanyia biashara liko wapi? na je, Kariakoo siyo kwa ajili ya vijana wa Kitanzania? Nani mwenye haki na Soko la Kariakoo?

Kitendo hiki kinaweza kusababisha ongezeko la uhalifu mitaani kwani hawa vijana hawatakuwa na kazi na hivyo kukosa kipato cha kujikimu.

Serikali iweke miundombinu ya vijana kujiajiri na kamwe isiwe kikwazo kwa vijana kujikwamua kiuchumi.

Imetolewa leo Disemba Mosi, 2022.

Apolinary Boniface,
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano BAVICHA.
Tatizo la Wa Machinga


Justine Kalikawe 1996
 
Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA) tunalaani kitendo cha Serikali kuvunja vibanda vya wafanyabiashara/wajasiriamali wadogo katika Soko Kuu la Kariakoo, Jijini Dar Es Salaam.

Tukio hili ni la kinyama na halina utu ndani yake kwani limewasababishia vijana wengi umasikini na ufukara baada ya bidhaa zao kuchukuliwa na mgambo wa jiji waliyokuwa wakiendesha operesheni ya kuvunja vibanda vyao.

Ikumbukwe kuwa Serikali imeshindwa kutoa ajira kwa mamilioni ya vijana wanaomaliza vyuo na shule mbalimbali hapa nchini kwa muda mrefu, inasikitisha kuona kuwa vijana wanapojitahidi kujiajiri wenyewe, Serikali inawaumiza badala ya kuwasaidia ili waweze kujikwamua na ugumu wa maisha.

Tunaitaka Serikali ieleze hawa vijana wamachinga eneo lao la kufanyia biashara liko wapi? na je, Kariakoo siyo kwa ajili ya vijana wa Kitanzania? Nani mwenye haki na Soko la Kariakoo?

Kitendo hiki kinaweza kusababisha ongezeko la uhalifu mitaani kwani hawa vijana hawatakuwa na kazi na hivyo kukosa kipato cha kujikimu.

Serikali iweke miundombinu ya vijana kujiajiri na kamwe isiwe kikwazo kwa vijana kujikwamua kiuchumi.

Imetolewa leo Disemba Mosi, 2022.

Apolinary Boniface,
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano BAVICHA.
Machinga complex ilijengwa kwa ajili ya kina nani?
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom