Recent content by Bavaria

  1. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Kwa ukiritimba alio nao Dangote bora atafutwe mwekezaji mwingine

    Serikali inashindwa vipi kuingia ubia na Dangote kujenga hiko kiwanda? Itoe mtaji nusu kuchagia ujenzi. Itapunguza nguvu ya Dangote.
  2. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Ni mapema sana kutoa hukumu. Muda utatuambia.
  3. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Used market for EVs litakuwa very brutal.
  4. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalamu wa vyombo vya moto: Kati ya gari na pikipiki kipi kina mwendo wa haraka zaidi?

    Inategemea aina ya vyombo ya moto. Ila ukichukua top of the line katika each category, gari inaikalisha pikipiki.
  5. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Bado Chinese cars are disposable. Miaka 15 hiyo gari itakuwa imechakaa hutaamini. Bado Japanese cars are reliable after 20 years of use.
  6. Bavaria

    JamiiForums Tanzania "Operesheni Epic Fury imekamilika. Tumefikia malengo ya operesheni hiyo."-Sec Marco Rubio

    USA wamepokea kichapo kuliko maelezo. Hawajui washike kipi waache kipi.
  7. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa Scania unaisha. Zuchu Howo ndio mpango mzima

    Kulinganisha Scania na Howo ni kuivunjia heshima Scania. Mchina anakupa kitu famba kwa bei chee. Sawa na hawa wamiliki wa mabasi wanavyokimbilia kwenye Yutong. Ila Scania anabaki kuwa kwenye ulimwengu wa pekee.
  8. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa namna ya kuingiza gari used toka Afrika Kusini

    South Africa na UK wapi wanakuwa na bei rahisi ya magari? Assume same model, year and condition.
  9. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mtakufa na presha. Na akili yako timamu unadhani kila mchezaji anaeusishwa na Man Utd anatakiwa kweli.? Are you that stupid enough to believe any rumours?
  10. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Wachezaji wanaonunuliwa kuuza jezi au kocha anaowataka?
  11. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Apewe hela alete wachezaji anaowataka. Asipopewa hela ataishia kwa kina sabitzer. Mashabiki mna kiherehere sana bila kujua behind the scenes mambo yanavyoenda. Makocha wanahujumiwa sana na management and owners.
  12. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Ikulu mpya na maswali

    Dunia nzima ni masikini. Hata huko ulaya masikini wapo. Hata serikali iseme bajeti yote ipelekwe kuondoa umasikini haitatosha hata miaka 100 ijayo. Wacha vingine vifanyike.
  13. Bavaria

    JamiiForums Tanzania Ikulu mpya na maswali

    Tanzania ardhi ni kubwa sana. Ikulu kuwa na eneo kubwa kuna umuhimu vile vile. Itapunguza msongamano miaka ijayo watu wakishaanza kujenge kuzunguka. Hii ardhi ya Tanzania haitajaa hata miaka 100 ijayo.
Back
Top Bottom