Kulinganisha Scania na Howo ni kuivunjia heshima Scania. Mchina anakupa kitu famba kwa bei chee. Sawa na hawa wamiliki wa mabasi wanavyokimbilia kwenye Yutong. Ila Scania anabaki kuwa kwenye ulimwengu wa pekee.
Mtakufa na presha.
Na akili yako timamu unadhani kila mchezaji anaeusishwa na Man Utd anatakiwa kweli.?
Are you that stupid enough to believe any rumours?
Apewe hela alete wachezaji anaowataka.
Asipopewa hela ataishia kwa kina sabitzer.
Mashabiki mna kiherehere sana bila kujua behind the scenes mambo yanavyoenda.
Makocha wanahujumiwa sana na management and owners.
Dunia nzima ni masikini.
Hata huko ulaya masikini wapo.
Hata serikali iseme bajeti yote ipelekwe kuondoa umasikini haitatosha hata miaka 100 ijayo.
Wacha vingine vifanyike.
Tanzania ardhi ni kubwa sana. Ikulu kuwa na eneo kubwa kuna umuhimu vile vile. Itapunguza msongamano miaka ijayo watu wakishaanza kujenge kuzunguka.
Hii ardhi ya Tanzania haitajaa hata miaka 100 ijayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.