Hamna kufuga ujinga hapa wewe ni wale mashemeji masikini , unapata wapi muda wa kupishana na shemeji yako kwa friji, pasi unapigaje wewe hakuna mtu wa kazi hapo ndani, bustani shamba boy anafanya nini mpaka shemeji yako aanze kuhangaika na bustani. Wewe ni hauna pesa na mda mwingi upo...
Kwa nionavyo mimi ukiwa serious kutafuta mke kwanza hupati na hata ukipata ndiyo mambo ya leo ndoa kesho talaka...
Angalia list ya vyuma vyako unavyogonga lazima kunakuwaga na chuma moja mnaelewana hata kama iko na kasoro zake lakini unakuwa tayari unazijua ko wewe hapo ni kuchekecha ndosi sasa...
mkubwa sorry, hapa kitu unataka kumaanisha na kutwambia ni kama tuache kupambana na maisha sababu Kuna kifo?
adui huwezi jua anatokea wapi na saa ngapi, inabidi tu kujiwekelea fit kila pahali na kila saa juu hata iyo noma ikifika ikupate wewe ulifanya Kila kitu kujilinda.
same kwa maisha ya...
ayo ni majaribu na kuvurugana akili TU.
na kusema kweli watu wanao kuletea majaribu kwenye aya maisha ndiyo wachawi wako namba 1.
inawezekana huu ni wito wa Mungu kukuepusha na hao watesi
sorry mkuu hata nyumbani nikiamua kusikiliza mpira kwa redio kutokana na mood yangu ya siku iyo bado Kuna mtu atakuja kunishangaa kwamba uyu jamaa vipi matelevisio yapo kibao ila jamaa anasikiliza mpira kwa redio??🤔
sijui ni kwanini umewaza hivi ila kujaa kwa television na mabanda umiza haiezi kuwa sababu ya kujiuliza pia why watu wanasikiliza mpira kwa redio leo.
Watu tumetofautiana sana kuanzia tabia,mazoea,mood,kazi,vipato.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.