Nishakata tamaa na kuoa

Nishakata tamaa na kuoa

Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee

Utapewa wa kufanana nawe.
 
Shida
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Shida ni hapo kwenye kutafuta kiongozi...
 
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Usikate tamaa bado wakati wako mkuu.
 
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Kuwa makini
Usije ukaamua kuolewa
 
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee


NDOA ni taasisi mama hivyo inahitaji watu wazima, Sio watu wazima wa umri Bali watu waliokomaa kiakili


Hitaji mama kwa mwanamke kutoka kwa mwanaume ni Akili na siyo vitu B'se mwanamke asili yake ni multiplayer (mzidishaji) hivyo anahitaji mbegu tu ili azidishe


Mwanaume ukikosa akili kamwe hawezi kuishi na kiumbe kinachoitwa mwanamke, kitakufisha na kukuangusha kwani kina nishati kali sana
 
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Utapata tu, mi nilikuwa kama wewe ila ghafla bin vuu katika sehemu ambako hata sikutarajia nikapata mali🤣🔥🔥🔥


As long as bado upo hai na una nia thabiti, we mwombe Mungu tu naye atakustaajabisha kwa majibu yake
 
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Kama Vipi join the chain 😁
 
Back
Top Bottom