Wananchi tungekuwa na umoja na mshikamano kwa hili la mpina ndilo tulitakiwa kuandamana mpka bungeni kupinga adhabu hiyo na kuishinikiza serikali kuchunguza tuhuma za wizara ya kilimo na wazari wake
Lakini kwakuwa hatuna umoja leo kila mtu ananung'unika kivyake kimoyomoyo
Kwa hali hii...
Ila tu tuwe wakweli hii mikopo inayokopwa na serikali naanza kupata doubt huenda ndo hii hii tunayokopeshwa online kwa riba ya asilimia 80 maana kampuni za kukopesha mbona zimekuwa nyingi sana nchini ?
Hii simba inatakiwa ibomolewe na ijegwe upya
Hakuna wanachojifunza kila uchao yaani wachezaji wameshafika mwisho hawafundishiki hata akija pep gadiola kwa simba hii bado watapigwa nyingi tuu
Subiri April 20 kuna goli zaidi ya sabaa kutoka kwa watani zao yanga
[emoji1][emoji1][emoji1]tunacheka lakini kitu kikishawekewa utaratibu ni mhimu utaratibu huo ufuatwe maana hicho ni chanzo cha Mapato kwa halimashauri zetu
Kumbuka "haba na haba hujaza kibaba" wizi na ufisadi unaanzia hapo
Watoza ushuru kwenye choo cha kulipia katika stendi ya katoro wilaya ya geita hawatoi risti kwa wateja hivyo kufanya mapata kuishia mikononi mwa wachache
Mapato hayafiki halimashauri
Wahusika fuatilieni hili ni zaidi ya mara tatu napita hapa kila siku wanatoa sababu ileile eti mashine ya POS...
Tuwape hongera waliopata wake
Kupata mke ni issue moja na kupata mke mwema ni issue nyingne
Ukipata mke inatosha huo wema utaupata hata kwa wadada wa kazi
Over
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.