basiri
Senior Member
- Aug 31, 2018
- 168
- 149
Watoza ushuru kwenye choo cha kulipia katika stendi ya katoro wilaya ya geita hawatoi risti kwa wateja hivyo kufanya mapata kuishia mikononi mwa wachache
Mapato hayafiki halimashauri
Wahusika fuatilieni hili ni zaidi ya mara tatu napita hapa kila siku wanatoa sababu ileile eti mashine ya POS imeharibika leo ni zaidi ya miezi 4 sasa naiona hii hali.
Mapato hayafiki halimashauri
Wahusika fuatilieni hili ni zaidi ya mara tatu napita hapa kila siku wanatoa sababu ileile eti mashine ya POS imeharibika leo ni zaidi ya miezi 4 sasa naiona hii hali.