bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Wahenga wanasema two is better than one umoja ni nguvu walipata kusema babu zetu, ila kwangu naona kama hizo formula zote mbili zinaenda kugoma japo sio kupenda kwangu ila naona kwangu one is better.
Japo ni maisha ya upweke, japo ni maisha ya kupanga mipango yako mwenyewe, japo ni maisha ya kupika na kula mwenyewe, japo ni maisha ya kufua na kunyoosha mwenyewe la hasha hakuna budii kuyaishi.
Sio maisha rafiki hata kidogo stress, anxiety, depression, burnout nje nje lakini je ndo ntafanyaje sasa, nlipanga mipango kibao nikajiambia ikitiki hakika ntatafuta mchumba/ mke wa kuishi naye japo imekua ngumu mipango yote kukaa sawa ila bado napambana until the last drop.
Umri unasogea mpaka sasa sina mchumba wa kusema ntaishi naye mbeleni, sina rafiki wa kike nikisema hata nikiumwa atakuja kunisaidia au hata siku nikitaka kula chakula kilichopikwa na jinsia ya kike sina kula ni lazima nizame jikoni au kwa mama Ntilie kazi kweli kweli.
Ukimpata mtu anaangalia huyu ana nini huyu atanipa nini na ndo hivo bado mipango haijakaa sawa mwisho wa siku mdada wa watu anaamua kusepa na kuniacha na majonzi na kuniacha nikiweka nyimbo ya Barua ya Daz Nundaz na kusikiliza siku nzima.
Je nikisema niishi mwenyewe to the rest of my life itakua ni sawa? ila sometimes naogopa je nikiumwa who will help me je nikifika uzeeni who will help me nabaki njia panda hakika kupata mke sio ishu ndogo hata kiduchu.
Hongereni sana nyote mliofanikiwa kupata wake wema na kutengeneza familia bora.
Roma ikisema imesema.
Japo ni maisha ya upweke, japo ni maisha ya kupanga mipango yako mwenyewe, japo ni maisha ya kupika na kula mwenyewe, japo ni maisha ya kufua na kunyoosha mwenyewe la hasha hakuna budii kuyaishi.
Sio maisha rafiki hata kidogo stress, anxiety, depression, burnout nje nje lakini je ndo ntafanyaje sasa, nlipanga mipango kibao nikajiambia ikitiki hakika ntatafuta mchumba/ mke wa kuishi naye japo imekua ngumu mipango yote kukaa sawa ila bado napambana until the last drop.
Umri unasogea mpaka sasa sina mchumba wa kusema ntaishi naye mbeleni, sina rafiki wa kike nikisema hata nikiumwa atakuja kunisaidia au hata siku nikitaka kula chakula kilichopikwa na jinsia ya kike sina kula ni lazima nizame jikoni au kwa mama Ntilie kazi kweli kweli.
Ukimpata mtu anaangalia huyu ana nini huyu atanipa nini na ndo hivo bado mipango haijakaa sawa mwisho wa siku mdada wa watu anaamua kusepa na kuniacha na majonzi na kuniacha nikiweka nyimbo ya Barua ya Daz Nundaz na kusikiliza siku nzima.
Je nikisema niishi mwenyewe to the rest of my life itakua ni sawa? ila sometimes naogopa je nikiumwa who will help me je nikifika uzeeni who will help me nabaki njia panda hakika kupata mke sio ishu ndogo hata kiduchu.
Hongereni sana nyote mliofanikiwa kupata wake wema na kutengeneza familia bora.
Roma ikisema imesema.