Yote mliyoyasema yaweza kuwa sahihi pia. Lakini mnachokosea kubishi hapa kwamba watu hawawezi kusafiri kwa ungo. Labda niwaulize, tangu dunia iumbwe hii, hakuna kitu kinaitwa uchawi?
Kama ni kuchangia, kwanini tusiuchambue uchawi wenyewe, ili tusiojua tukaweza kuelimika?
Unapobishi kavukavu...
Nabakwa na wanawake ninaanza kulialia! Siwezi mie. C wamenipenda? Wote ntawadhibiti nikiwa na akili timamu. Mmoja mmoja ama wote kwa mkupuo. Wao c wahuni bw! Hawakuwa na haja ya kufanya mambo hayo kwa hila. Mtu anasema tu wazi tunamalizana. Ishu ya starehe ad mwanaume ulalamike!
Haya, sasa...
Ahsante sana kwa comment yako mazee. "Nayasapoti" maelezo yako kwa kuwa, kama ni kulinganisha tawala zote kwenye mizani, tangia R.i.p "Mchonga" hadi leo hii, Magufuli yupo juu.
Nyerere aliwagwaya wahujumu uchumi, hadi akakodi waziri mkuu R.i.p Sokoine kumwadhibia mafisadi hao. Alikuwa akitaka...
Hata hivyo mimi siamini dawati sijui sanduku la malalamiko.
Kwakuwa wanaotunza hayo masanduku na "kuyagubua" kuchukua kusoma hayo malalamiko,saazingine ni haohao waliolalamikiwa.
Utegemee kesi ya nyani kula mahindi, ishughulikiwe na tumbiri,kutatua kero za kula mahindi kwenye mashamba ya...
kuna maneno katika sala za kitubio kwa wakristu yasemwayo "nimekosa kwa mawazo,kwa maneno,kwa vitendo na kwa kutotimiza wajibu"……Ukiangalia hapo utaona kuwa, dhambi zinahesabiwa pia kwa mawazo potofu.
Utaamshwa nakwambia. Wiziwizi awamu hii haunaga cha mjeda wala ndugu mheshimiwa katika kutumbuliwa. Kamuulize Kilango! Tangia enzi za mwalimu, hadi awamu ya 4, hangeweza kufumuliwa "fumu"namna hiyo, kutokana na hadhi ya mmewe katika nchi hii.
Badala yake angehamishwa ama,ungepitishwa...
Wapigaji wanachama chao kumbe!
Mtoa mada kawashika pabaya'eh! Mbona mmecharuka kwa mambo madogomadogo yanayozungumzika? Kwa hiyo mambo ya watuhumiwa hayazumgumzwi?
Kama ni hivyo tungepataje taarifa za mijizi hiyo?
Tetea tetetetete! vimbisha misuli ya shingo lakini kumbuka hao jamaa zako...
Umenikumbusha kitu, ingawa haukuzingatia uchangiaji kwa kufuata maudhui ya mtoa mada.
Hivi kweli wale walioteuliwa na JMK dakika za lalasalama,bado wamekalia nyadhifa zao hizo mpaka leo?
Nyerere alitawala Miaka takribani 25. Mapungufu yake sisi tulioshiba chumvi tunayaelewa.
Huyu katawala tunaendea miezi11, dosari zake hatujaziona.
Katika kuwapima bila kuangalia ukongwe wa mtu alivyokaa madarakani, basi JPM ni zaidi ya JKN.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.