Inaelekea uko choo cha kikeKiki kirikiki kiki kirikiki
Hivi apa mkuu wa mkoa anaponaje ? Au yeye kazi yake ni kusimamia nini zaidi mkonani ?Kila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa Kagera....
Then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo;
1.Kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaani anaweza mkaba roba simba dume kavukavu.
2.Tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi
Hizo ndo product za mafisiemKila nikitafakari sipati picha!ni ujasiri ulioje?hivi dhahama la tetemeko la ardhi serikali ikafungua akaunti maalum ya michango kusaidia maafa Kagera....
Then kuna ndugu wajasiri wao wakafungua ya kwao inafanana na ile akaunti maalum wapige mpunga!zama hizi huu ujasiri unatoka wapi?kila kukicha nchi hii haikosi maajabu....hii inadhihirisha yafuatayo;
1.Kuna waungwana ni majasiri kupita maelezo yaani anaweza mkaba roba simba dume kavukavu.
2.Tulikua tunapigwa sana wakati wa kuchangia maafa..kupita kiasi
Kwa Mjeda hagusiiiiii!! Akimtimua mje mniamshe wakuu!Bado mkuu wa Mkoa nae Shoka limekwisha kuwekwaa Tatizo hapo ni Lowassa kupokelewa Huyo KIJUU hata maliza mwezi atapangiwa kazi nyingine
Wapigaji wanachama chao kumbe!Mijitu mingine bwana kazi ushabiki tu hivi unauhakika subiri uchunguzi ufanyike,ndiyo maana mkuu mwenyewe kasema vyombo vya ulinzi vichunguze,sasa wewe pelelepelele
Utaamshwa nakwambia. Wiziwizi awamu hii haunaga cha mjeda wala ndugu mheshimiwa katika kutumbuliwa. Kamuulize Kilango! Tangia enzi za mwalimu, hadi awamu ya 4, hangeweza kufumuliwa "fumu"namna hiyo, kutokana na hadhi ya mmewe katika nchi hii.Kwa Mjeda hagusiiiiii!! Akimtimua mje mniamshe wakuu!