Recent content by Barunho

  1. B

    Rais wa Gambia atangaza nchi yake kuwa dola ya Kiislamu!

    hivi we unajua hesabu kweli we umeambiwa asilimia we unataja kiasi.hatakama wangekua kumi 90% ni kubwa yaani hapo ni kwamba kama wako mil2 basi mil1.8 ni waislamu .UPO APO
  2. B

    Mlichokipata YANGA Mbeya , mtegemee kukipata na mikoa mingine.

    nyie hangaikeni ila mkija taifa lazma tuwamege vpande vtano kama wenzenu ashanti
  3. B

    Walimu kugoma Oktoba mosi

    Vp mishahara haipo ktk hayo madai
  4. B

    PICHA: Hali Ilivyokuwa ktk Mkutano wa CHADEMA wa Tar 27 Julai 2013 - Tabora

    kweli walikuja kushangaa na kuwajua wa2 wawaambiao ukweli na kuwaadabsha wanawake wenzio.shame on u.mxyuuuu
  5. B

    CCM wabuni mbinu mpya ya wahudhuriaji wa mikutano...

    kumbuka mamako alokuweka tumboni miez 9 ni JIKE
  6. B

    Askari walinda Amani wa JWTZ wauawa Darfur

    mwanajeshi kufa vitani na wewe kuharibu amani wapi na wapi yule yuko kazini tena kwa kiapo wewe harbu amani uone cha fire..
  7. B

    John Magufuli: Ninautamani urais!

    Ana maamuzi magumu anaweza bkasimamia vyema maendeleo lakn maamuz yake yanaweza yakaumiza wengne ama kuiingza nch vitani
  8. B

    King Mswati III in Dar...

    uku kwe2 radio hazkamati kabxa mjomba
  9. B

    King Mswati III in Dar...

    Anakuja kufanyaje..ebu mtoa habari atukamilishie ii taarifa
  10. B

    Answer if you are genius....??

    The doctor is his mother
  11. B

    Bomu la Arusha-Ni Victor Ambrose pekee, wengine wote waachiwa

    ebu kua muelewa wewe yan unataka kuamn kua kjana wa kitanzania mwenye elimu ya std7 na umri wa miaka 20 anaweza kufanya makosa alioainishwa kwenye kesi yake..tena m2 mwenyewe hana hata exposure yoyote ya kitaifa na hata kimataifa..acha ubshi wa kindez wewe kua mfikirivu
Back
Top Bottom