Nawasilisha kwenu wadau wa usafiri wa mabasi hii mada kuhusu Kampuni ya Simba Mtoto kwa safari ya Tanga -Dodoma,wamekuwa sio rafiki wala kuwa na Huduma bora kwa wateja wao,mmoja wapo ni mm nimekata tiketi ya kutoka Tanga kwenda Dodoma ambapo niliambiwa nifike saa 11:30 alfajiri na basi...
Wakati mwingine inabidi tu tuwe wakali na kuachana na huu upuuzi wa sheria,ifike pahala kila mzazi awe macho na mtoto wa mwenzake ma kuangalia jamii husika,ukali wa malezi na maadili ufike popote pale katika mazingira hatarishi ya mtoto wa kike na msababishaji pia,no way out naungana na kauli ya...
Madalali wa Dodoma tu ndio njaa kubwa wanayo,unakuta nyumba inapangishwa kwa shs 200k yeye anataka apangishe kwa 300-250k anakuongezea hicho cha juu anakipiga yeye kama ndiye mwenye nyumba kisa "tension ya kuhamisha makao ya nchi"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.