barqis
Member
- Jun 3, 2017
- 28
- 22
Wakati mwingine inabidi tu tuwe wakali na kuachana na huu upuuzi wa sheria,ifike pahala kila mzazi awe macho na mtoto wa mwenzake ma kuangalia jamii husika,ukali wa malezi na maadili ufike popote pale katika mazingira hatarishi ya mtoto wa kike na msababishaji pia,no way out naungana na kauli ya mheshimiwa Rais