Recent content by baro

  1. baro

    JamiiForums Tanzania Bila Rais Samia hii nchi ingejifia kitambo sana,Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili

    Hata unayemaifia AMEKUSHANGAA
  2. baro

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya Rais Samia na marais wengine waliomtangulia

    Hivi una Akili timamu kabisa?
  3. baro

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Kumbe huu utapeli bado unaendelea
  4. baro

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nendeni kwenye maridhiano ndipo mdai Katiba Mpya

    Nakuona ukiwa viunga vya Jumuiya ya Wazazi (CCM) 😃😃
  5. baro

    JamiiForums Tanzania Itakuaje CHADEMA kikifutwa na msajili wa vyama?

    Sijashangaa kuona profile yako ni Tenga
  6. baro

    JamiiForums Tanzania Kyela: Kuporomoka kwa bei ya Kokoa kutoka elfu 25 hadi elfu 5 kumesabanishwa na nini?

    Kama soko la cocoa ni kwa MABEBERU wakibinya tumeisha kwani waliuaje Zao la Mkonge? Ni Akili fupi tu ya kindondocha inaweza kupambana na Beberu katika uchumi
  7. baro

    JamiiForums Tanzania Mmemsikia Mbunge wa Tunguu, Zanzibar Simai Saidi akitamka "Watanzania na Wazanzibari"? Hawa watu wanatafuta nini lakini?

    Mifumo ipi ya usalama unayozumgumzia? Mifumo iliyofeli Oct 29? Hadi tume ikakiri Kwa Sasa tunalindwa na Mungu tu sio mifumo , nchi hii hakuna mifumo acha kujilisha upepo kuwa Kuna mifumo au michezo ya mifumo , kama ungejua huko kwenye mifumo hata usingekuwa unaandika post zako kuhusu mifumo...
  8. baro

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

    Dogo Hana adabu kwa wazee wake
  9. baro

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    MALCOM LUMUMBA again , nilikuwa nasubiria kwa hamu utie neno katika Bill ya Marekani , umetumia mifano hai mingi Kiufupi kwa Sasa ni adhabu kuwa mzalendo nchi hii , TUANZE UPYA
  10. baro

    JamiiForums Tanzania Dkt. Hussein Mwinyi, Mrithi wa viatu vya Nelson Mandela

    Hivi nyie Vyawa mnajua madhira aliyopitia Mandela? Kwa Mwanasiasa wa TANZANIA ni Lissu pekee ndiye anavaa viatu vya Mandela , Mwinyi ni kaburu tj
  11. baro

    JamiiForums Tanzania Endapo Hussein Mwinyi atamaliza urais wake Zanzibar 2030 na akataka kuendelea Bara kama baba yake, ndani ya CCM yupo wa kumzuia ?

    Acha utaahira hizo pesa mlizopewa ni za Moto Kama hamjui hata kupokeza nchini kukoje , nyie Uvccm mmelaaniwa
  12. baro

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maandamano yakifanyika kwenye vituo vya Kura, uchaguzi unaharishwa

    Mkuu upo mbele ya muda , Hongera sana
Back
Top Bottom