Recent content by baro

  1. baro

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Walokole ni watu wa ajabu sana , kiufupi Dini hizi zimeharibu bongo za watu yaani hasa hasa sisi tumbili weusi
  2. baro

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Mkuu ebu andika kinachoendelea maana naona Marekani kama anakimbia vita
  3. baro

    Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Unapingana hadi na ushahidi wa Gazeti la Financial Times ? Kweli hii nchi ina watu wa ajabu sana
  4. baro

    Zama za Babeli (Iraq) Uajemi (Iran) na Rumi zimeshapita Iran haiwezi kuinuka Tena LAZIMA ibondwe Kutimiza unabii tusiwe wavivu kusoma maandiko

    Walokole mna shida sana Kila kitu mnaingiza dini wakati wenye dini zao wao hawayajui hayo N
  5. baro

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Iran wameiga Tabia za kinafiki za Magharibi , aisee wanasema hawashambulii kumbe ndio wanashambulia
  6. baro

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Iran ameanza kushambulia tena Bahrain na Dubai japo Rais wao alisema ashambulii nchi jirani Haa 😂 😂 😂 😂 😂 😂
  7. baro

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Watu wengi wametoa historia humu kuanzia Vietnam, Iraq , Afghanistan n.k huko pote USA amepoteza hadi Sasa kapoteza Soon, Trump anaondoka hapo Iran maana kaanza kujipa ushindi kwa kutafsiri sivyo kauli ya Rais wa Iran
  8. baro

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Sasa hiyo si ni minor issue kabisa ni February ndio lakini sio 2026 nini ambacho hukuelewa ? Unapenda kushadadia vitu vidogovidogo kama Kizimkazi
  9. baro

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Simple calculation Hii vita Marekani na Israel wameshashindwa 1. Regime change imeshindikana 2. Military base za Marekani Middle East zimeharibiwa vibaya mno 3. Gulf Countries watajitenga na Marekani maana Hana msaada kwao ( Hili tayari limeanza na wameanza kulalamika) 4. Marekani atashuka...
  10. baro

    Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Mkuu changia hoja mbona kama uwezo wako imejaa kwenye Matusi tu kama hujui Geopolitics tulia usome tu , Acha kudhalilisha Ukoo wako
  11. baro

    Siasa za kindugu, umwagaji damu na Ukatoliki nchini Ufilipino

    MALCOM Matatizo ya nchi hii ukiyaangalia kwa kina tatizo sio TEC hapa nakataa , TEC wanaweza kuwa na changamoto zao hasa katika maslahi yao ya ki nchi na Kidunia (Vatican) lakini si wao ndio tatizo Hawa jamaa tangu waanze kuwapo miaka 2000 iliyopita (Namaanisha kanisa) wamepitia mengi sana na...
  12. baro

    Vatican yasisitiza kufanyika kwa uchunguzi huru kufuatia mauaji ya Oktoba 2025

    Kanisa Katoliki Takatifu la Mitume
Back
Top Bottom