Kama soko la cocoa ni kwa MABEBERU wakibinya tumeisha kwani waliuaje Zao la Mkonge?
Ni Akili fupi tu ya kindondocha inaweza kupambana na Beberu katika uchumi
Mifumo ipi ya usalama unayozumgumzia?
Mifumo iliyofeli Oct 29? Hadi tume ikakiri
Kwa Sasa tunalindwa na Mungu tu sio mifumo , nchi hii hakuna mifumo acha kujilisha upepo kuwa Kuna mifumo au michezo ya mifumo , kama ungejua huko kwenye mifumo hata usingekuwa unaandika post zako kuhusu mifumo...
MALCOM LUMUMBA again , nilikuwa nasubiria kwa hamu utie neno katika Bill ya Marekani , umetumia mifano hai mingi
Kiufupi kwa Sasa ni adhabu kuwa mzalendo nchi hii , TUANZE UPYA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.