Recent content by baro

  1. baro

    JamiiForums Tanzania Dkt. Hussein Mwinyi, Mrithi wa viatu vya Nelson Mandela

    Hivi nyie Vyawa mnajua madhira aliyopitia Mandela? Kwa Mwanasiasa wa TANZANIA ni Lissu pekee ndiye anavaa viatu vya Mandela , Mwinyi ni kaburu tj
  2. baro

    JamiiForums Tanzania Endapo Hussein Mwinyi atamaliza urais wake Zanzibar 2030 na akataka kuendelea Bara kama baba yake, ndani ya CCM yupo wa kumzuia ?

    Acha utaahira hizo pesa mlizopewa ni za Moto Kama hamjui hata kupokeza nchini kukoje , nyie Uvccm mmelaaniwa
  3. baro

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maandamano yakifanyika kwenye vituo vya Kura, uchaguzi unaharishwa

    Mkuu upo mbele ya muda , Hongera sana
  4. baro

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwenye ukweli uongo hujitenga!, Baada ya idadi ya Vifo 518 kutolewa; Je, tuwashitaki wazushi waliotuchafua kwa Uzushi wa Maelfu ya Vifo?

    Pascal Mayalla nilikuwa naona kama watu humu wanakuonea ila Sasa nimeamini huwa hawakuonei
  5. baro

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pamoja na kuwa na uwezekano wa watu Kutolewa Kafara, Naikataa Ripoti ya Chande

    Mkuu ripoti imetoka Je imeenda tofauti na matarajio ya Watanzania wengi waliopoteza wapendwa wao? Je imeenda tofauti na poll ya Mzee Mwanakijiji
  6. baro

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Hii ni ripoti ya Rais, aliyeunda Tume ni Rais, wasitokee watu wengine wakadai ownership

    Maana yake anatoa mwanya jumuiya za Kimataifa zichunguze ,huyu Mama nani anamshauri?
  7. baro

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Mnyika: Wanaharakati waanzishe chama chao wasitutegemee CHADEMA

    Habari imeletwa na Ng'ombe wa Mama , usitegemee ukweli hapo
  8. baro

    JamiiForums Tanzania UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Walokole ni watu wa ajabu sana , kiufupi Dini hizi zimeharibu bongo za watu yaani hasa hasa sisi tumbili weusi
  9. baro

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Mkuu ebu andika kinachoendelea maana naona Marekani kama anakimbia vita
  10. baro

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaandika Historia mpya kwenye Sekta ya Reli!

    Yetu macho
  11. baro

    JamiiForums Tanzania Marekani azidiwa na Iran, aomba msaada NATO lakini amekataliwa

    Unapingana hadi na ushahidi wa Gazeti la Financial Times ? Kweli hii nchi ina watu wa ajabu sana
  12. baro

    JamiiForums Tanzania Zama za Babeli (Iraq) Uajemi (Iran) na Rumi zimeshapita Iran haiwezi kuinuka Tena LAZIMA ibondwe Kutimiza unabii tusiwe wavivu kusoma maandiko

    Walokole mna shida sana Kila kitu mnaingiza dini wakati wenye dini zao wao hawayajui hayo N
  13. baro

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani ameshindwa kuimaliza Iran haraka?

    Iran wameiga Tabia za kinafiki za Magharibi , aisee wanasema hawashambulii kumbe ndio wanashambulia
Back
Top Bottom