Recent content by baro

  1. baro

    JamiiForums Tanzania Kutoka Hadhi ya akina Warioba, Mpango, Hadi Ndejembi asiye na uzoefu wa Siasa walau wa miaka 10, ELIMU ya Hapa na Pale, NCHI inachezewa sana hii

    Malengo ya Kizimkazi ni kwamba akiondoka amuachie Urais Mgogo wa Pemba ili kulinda maslahi yake na familia yake , kwamba atampitisha kibabe , Haha nilicheka sana baada ya kusikia huo mpango ndio maana kamchagua Kijana
  2. baro

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Hili nimeshaliandika kwenye Uzi wako kuwa MBOMO ATAMALIZWA, Hakuna urafiki katika USALITI Pia mbinu hii aliitumia sana Stalin kujiimarisha
  3. baro

    JamiiForums Tanzania Kenya Kununua Magunia Milioni 11 ya Mahindi kutoka Zambia Kwa bei Kubwa na Kuikacha Tanzania Yenye Mahindi Mengi ya Bei Chee.

    Biashara ya Kimataifa haifanyiki kwa magunia ila Kwa metric tones Hivi nyie Chawa mnashida gani
  4. baro

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Hizbu na Waarabu Koko Sasa hivi wanatamba sana
  5. baro

    JamiiForums Tanzania Kawaida: Kamati Kuu ilimuita Nchimbi lakini kwa sababu ya kiburi na kudharau chama aligoma kuja, tukamfukuza

    Huyu dogo ni Mzanzibar kumbuka hilo
  6. baro

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Kisheria Uteuzi Makamu wa Rais na AG Johari

    Tuna AG asiyejua Sheria Wala Katiba kweli kama nchi tumepatikana
  7. baro

    JamiiForums Tanzania Warioba: Nilimwambia Nchimbi CCM inakufa

    Unahangaika na Chawa hao wenyewe wako kazini sio kijadili mbo ya nchi
  8. baro

    JamiiForums Tanzania CCM Fahamuni kabisa: Kilichofanywa na Asha Rose Migiro ni uhaini na atakilipia

    Nimeshaandika humu kwenye Uzi wa britanicca kuwa Samia lazima ashitakiwe ICC ni suala la Muda tu pia nikaandika DGIS TISS Mr. Mombo naye ATAMALIZWA tu ni suala la muda , USALITI na kuvunja misingi ya Katiba au kuvunja work culture ya Taasisi haijawahi muacha mtu salama Asante kwa kukazia hili...
  9. baro

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Sioni uwezekano wa kupata Katiba mpya kufikia 2030, asimulia mawasiliano na Nchimbi kabla ya kuondolewa CCM

    Hawa ndio wazee waliobaki haya na huyu Wamnyanganye Kadi na simu Hii nchi ishakuwa Banana Republic
  10. baro

    JamiiForums Tanzania Wapenda hotuba za Rais Samia, tukutane hapa!

    Mna matatizo ya Akili aisee
  11. baro

    JamiiForums Tanzania Usalama wa Taifa, JWTZ, na Jeshi la Polisi Tanzania Hivi mnatuonaje?

    Pole kama una imani na hivyo vyombo pole sana
  12. baro

    JamiiForums Tanzania Fadhili Maganya: Nyoka amepigwa kichwani ili afe, Tunaunga mkono kutimuliwa kwake

    Huyu na wenzake wanajitoa Akili kama sio Watanganyika Baada ya miaka 3 au 4 mbele watalia na Kusaga meno
Back
Top Bottom