Makonda ndiye mtu pekee anayeweza msaidia Samia , ambaye amezungukwa na genge la Msoga ambalo halimtaki kwa Sasa
Samia awarudie kundi la Magufuli na kuachana na Msoga hili kundi la Magufuli ndilo la kumvusha
Hazielezi Jamii nyingine , ila kwa uchache katika vita kati ya TIAMAT na hao Miungu wengine alisaidiwa na Majini ambao waliitwa HELPER
So, inawezekana kabisa Jamii nyingine zipo ila NIBIRU ilikuwa blessed kuliko Sayari nyingine
Na Cha kuongezea ni kwamba hizi ,TIAMAT, Lahamu ,Lahmu n.k zote...
Sio tofauti, Igigi walikuwa ni Anunaki ambao ni Askari waliokuwa katika kituo Cha Anga huko Mars , wote ni Anunaki ila wao waliitwa Igigi kutokana na Kazi zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.