Watu wengi wametoa historia humu kuanzia Vietnam, Iraq , Afghanistan n.k huko pote USA amepoteza hadi Sasa kapoteza
Soon, Trump anaondoka hapo Iran maana kaanza kujipa ushindi kwa kutafsiri sivyo kauli ya Rais wa Iran
Simple calculation
Hii vita Marekani na Israel wameshashindwa
1. Regime change imeshindikana
2. Military base za Marekani Middle East zimeharibiwa vibaya mno
3. Gulf Countries watajitenga na Marekani maana Hana msaada kwao ( Hili tayari limeanza na wameanza kulalamika)
4. Marekani atashuka...
MALCOM
Matatizo ya nchi hii ukiyaangalia kwa kina tatizo sio TEC hapa nakataa , TEC wanaweza kuwa na changamoto zao hasa katika maslahi yao ya ki nchi na Kidunia (Vatican) lakini si wao ndio tatizo
Hawa jamaa tangu waanze kuwapo miaka 2000 iliyopita (Namaanisha kanisa) wamepitia mengi sana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.