Dunia yasimama na kutulia kwa muda wakati Rais Samia akipokelewa Ikulu na Rais Wa Urussi. Warusi Wasimamisha Kazi zao Kufuatilia Mapokezi Mazito

Dunia yasimama na kutulia kwa muda wakati Rais Samia akipokelewa Ikulu na Rais Wa Urussi. Warusi Wasimamisha Kazi zao Kufuatilia Mapokezi Mazito

Jaribu kufuatilia taarifa mbalimbali mitandaoni uone namna Rais wetu alivyoteka Dunia
Dunia yako wewe ni Mbozi tu. Kuna tofauti kubwa sana mapokezi ya huyu muuaji na mapokezi aliyopewa Captain Ibrahim Traore wa Burkina Fasso.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa,usishindane na Mbarikiwa, usishindane na Aliyeinuliwa na Mungu , usishindane na Chaguo la Mungu , usishindane na aliyepewa kibali na Mungu ,Usishindane na aliyechaguliwa na Mungu kabla hata hajazaliwa, Usishindane na Mwenye Mungu ndani yake .

Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa hakika haijapata kutokea kupata Rais na kiongozi mwenye Ushawishi,kupendwa ,kukubalika na kuungwa mkono nje ya Mipaka ya Taifa letu kama Rais Samia kwa miaka ya hivi karibuni.

Kwa hakika watanzania tunapaswa kupiga magoti na kusema asante Mungu kwa kutupatia Rais Samia na kumfanya kuzaliwa katika Ardhi yetu.ni bahati kubwa sana kuwa na watu aina ya Rais Samia Maana huwa hawapatikani kila sehemu na wala hawazaliwi kila siku.

Ni nadra sana kuwa nao na inapotokea umekuwa nao na kuwapata huna budi kumshukuru Mungu na kusema asante Mungu kwa zawadi ya Maisha ya Mtu huyu.

Ni katika hali hiyo leo hii Dunia imejikuta ikisimama kwa muda na kusimamisha shughuli za kijamii kushuhudia mapokezi mazito na ya kihistoria yaliyoongozwa moja kwa moja na Rais wa Urussi Viladimini Putin Komandoo na Mwamba kwelikweliiiiiii aliyejikuta akikutana na Mwamba Mwenzake na komandoo wa Vita Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama Wa Afrika na jasiri Muongoza njia.

Warusi wenyewe kila mmoja amejikuta akiwa katika hekaheka za kufuatilia kwa ukaribu zaidi mapokezi hayo ya heshima na kihistoria kutoka kwa Mgeni wa Heshima na Kwenye ushawishi zaidi Duniani kote .

Kwa hakika Watanzania Tembeeni Vifua mbele maana Rais na Mkuu wa Nchi tumepata na tunapaswa kutamba naye bila hofu .Taifa lipo kwenye mikono salama. Laleni hata Milango wazi bila makomeo Maana Nchi ina amani na utulivu chini ya Rais Samia .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3600621
Screenshot_20251222-120716~2.png
Screenshot_20251217-065939~2.png
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa,usishindane na Mbarikiwa, usishindane na Aliyeinuliwa na Mungu , usishindane na Chaguo la Mungu , usishindane na aliyepewa kibali na Mungu ,Usishindane na aliyechaguliwa na Mungu kabla hata hajazaliwa, Usishindane na Mwenye Mungu ndani yake .

Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa hakika haijapata kutokea kupata Rais na kiongozi mwenye Ushawishi,kupendwa ,kukubalika na kuungwa mkono nje ya Mipaka ya Taifa letu kama Rais Samia kwa miaka ya hivi karibuni.

Kwa hakika watanzania tunapaswa kupiga magoti na kusema asante Mungu kwa kutupatia Rais Samia na kumfanya kuzaliwa katika Ardhi yetu.ni bahati kubwa sana kuwa na watu aina ya Rais Samia Maana huwa hawapatikani kila sehemu na wala hawazaliwi kila siku.

Ni nadra sana kuwa nao na inapotokea umekuwa nao na kuwapata huna budi kumshukuru Mungu na kusema asante Mungu kwa zawadi ya Maisha ya Mtu huyu.

Ni katika hali hiyo leo hii Dunia imejikuta ikisimama kwa muda na kusimamisha shughuli za kijamii kushuhudia mapokezi mazito na ya kihistoria yaliyoongozwa moja kwa moja na Rais wa Urussi Viladimini Putin Komandoo na Mwamba kwelikweliiiiiii aliyejikuta akikutana na Mwamba Mwenzake na komandoo wa Vita Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama Wa Afrika na jasiri Muongoza njia.

Warusi wenyewe kila mmoja amejikuta akiwa katika hekaheka za kufuatilia kwa ukaribu zaidi mapokezi hayo ya heshima na kihistoria kutoka kwa Mgeni wa Heshima na Kwenye ushawishi zaidi Duniani kote .

Kwa hakika Watanzania Tembeeni Vifua mbele maana Rais na Mkuu wa Nchi tumepata na tunapaswa kutamba naye bila hofu .Taifa lipo kwenye mikono salama. Laleni hata Milango wazi bila makomeo Maana Nchi ina amani na utulivu chini ya Rais Samia .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3600621
Anko T , una hekaheka sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa,usishindane na Mbarikiwa, usishindane na Aliyeinuliwa na Mungu , usishindane na Chaguo la Mungu , usishindane na aliyepewa kibali na Mungu ,Usishindane na aliyechaguliwa na Mungu kabla hata hajazaliwa, Usishindane na Mwenye Mungu ndani yake .

Rais Samia Ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Kwa hakika haijapata kutokea kupata Rais na kiongozi mwenye Ushawishi,kupendwa ,kukubalika na kuungwa mkono nje ya Mipaka ya Taifa letu kama Rais Samia kwa miaka ya hivi karibuni.

Kwa hakika watanzania tunapaswa kupiga magoti na kusema asante Mungu kwa kutupatia Rais Samia na kumfanya kuzaliwa katika Ardhi yetu.ni bahati kubwa sana kuwa na watu aina ya Rais Samia Maana huwa hawapatikani kila sehemu na wala hawazaliwi kila siku.

Ni nadra sana kuwa nao na inapotokea umekuwa nao na kuwapata huna budi kumshukuru Mungu na kusema asante Mungu kwa zawadi ya Maisha ya Mtu huyu.

Ni katika hali hiyo leo hii Dunia imejikuta ikisimama kwa muda na kusimamisha shughuli za kijamii kushuhudia mapokezi mazito na ya kihistoria yaliyoongozwa moja kwa moja na Rais wa Urussi Viladimini Putin Komandoo na Mwamba kwelikweliiiiiii aliyejikuta akikutana na Mwamba Mwenzake na komandoo wa Vita Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama Wa Afrika na jasiri Muongoza njia.

Warusi wenyewe kila mmoja amejikuta akiwa katika hekaheka za kufuatilia kwa ukaribu zaidi mapokezi hayo ya heshima na kihistoria kutoka kwa Mgeni wa Heshima na Kwenye ushawishi zaidi Duniani kote .

Kwa hakika Watanzania Tembeeni Vifua mbele maana Rais na Mkuu wa Nchi tumepata na tunapaswa kutamba naye bila hofu .Taifa lipo kwenye mikono salama. Laleni hata Milango wazi bila makomeo Maana Nchi ina amani na utulivu chini ya Rais Samia .

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3600621
well done president Dr Samia Suluhu Hassan and Vladimir Putin President of Russia,

Tanzanians are proud over you 🔥
 
Back
Top Bottom