Kimojawapo ni UDOM
Na Kilijengwa msimu wa ujenzi wa shule za kata
kwa ajili ya wanafunzi wa shule za kata
walimu wake ni wa voda fasta
na wanafunzi wanalia ukata
Ulishaona wapi chuo ambacho kinagoma wengine hawagomi?
Nendeni hizo COLLEGE nyingine mwachape viboko!!!!!
VYUO VYA KATA VINAJULIKANA, Wanafunzi wake hawana fikra wanasubiri kujipendekeza kwa mkwere na masalia yake.
wakizani ni suluhisho la kupata mikopo, maji au taaluma. I HATE THEM SOOOO! MUCH
HUYU MKWERE AJIUZULU!!!!
ametuletea matatizo mengi sana.
udini
dowans
mgao wa umeme
mfumuko wa bei
ufisadi na kuwalinda mafisadi
migomo vyuo vikuu (shemeji )
trl kufa
atcl kufa
huduma mbovu za afya
kushindwa kuajiri walimu
kuua raia kwa amri za kisiasa
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA asema chama kinatarajia kutoa tamko rasmi la kulaani mauaji ya raia yaliyofanywa na jeshi la polisi katika maandamano ya chama hicho mkoani ARUSHA.
Pia amewataka wanaARUSHA kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya NMC kuaga miili ya...
wanafunzi wa MLIMANI wamelaani mauai ya raia mkoani Arusha yaliyofanywa na Polisi na kuitaka serikali kufikisha polisi hao katika vyombo vya sheria.
ITV HABARI-20:00
[QUOTE=MIRADIBUBU =Ninawasiwasi na jinsi yako hebu jiangalie vizuri. Udom inajitegemea na ina mambo yake sisiem mkubwa wewe
HIVI miradibubu si hihi*2 wanayoifanya dada zetu ohio street!!
wewe umeingia humu JF ILI KUKISAFISHA HIKI CHUO CHA KATA.
Nakusihi hakisafishiki kwa kujaza POSTS...
Uko sawa mkuu TAHLISO tulishaisulubu miaka ile 2008/ tukiwa huko
BIG UP wana UDSM msiwe kama UDOM chuo cha KATA wanalalamiiiiiiiika bila kufanya ya msingi kama hayo.
Alafu hii staili yao ya kulalamika humu JF huwa siipendi!
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Said Mwema ametangaza kusitisha maandamano ya amani ya Chama cha Demokrasia na Maendelieo CHADEMA yaliyokua yaongozwe na FREEMAN MBOWE na DR WILBROAD SLAA kwa kile alichokieleza kua ni taarifa za kiinteligensia kwamba kutakua na uvunjifu wa amani.
KWENU WADAU
Rweye lazima mseme hivyo ili msimkere,
Hivi ikulu sasa imetuona sisi wanasesere,
Au kuona wananchi kama ngoma ya segere,
Kucheza utacheza bila hata kwenda Makerere,
Na kutapatapa kwa kauli kumtetea mkwere!!!
Mmiliki wa DOWANS ndio kauli tunayoitaka.
Kweli mkuu, kuna kampuni rafiki yangu anafanya kazi walimu wanne wa SHAHADA wameajiriwa na wenyewe wanasema hawafikirihi kuacha tena endapo ajira zao zikitajwa kwani allowance zilizopo zimewalewesha. Hivi kwanini serikali mmeamua kuwakosesha ajira watu waliosomea kazi hiyo (MARKETING)? (wapo...
Kweli mkuu, kuna kampuni rafiki yangu anafanya kazi walimu wanne wa SHAHADA wameajiriwa na wenyewe wanasema hawafikirihi kuacha tena endapo ajira zao zikitajwa kwani allowance zilizopo zimewalewesha. Hivi kwanini serikali mmeamua kuwakosesha ajira watu waliosomea kazi hiyo (MARKETING)? (wapo...
QUOTE=muhadhiri;1435854]mimi kama muhadhiri chuo kikuu siamini kama kuna kitu kama hicho, labda ni msaada tu kwa wanawake ili wajikomboe kielimu[/QUOTE
MUHADHIRI Napata shida sana na uhadhiri wako ili hali unatuharibia lugha yetu, kama utaendelea kujiita MUHADHIRI sawa ila si uingize...
Wadau huo ni ukweli mtupu na ni kupitia mfuko wa mama SALMA jk kupitia TACAIDS ambao unalengo la kuwaendeleza waathirika wa UKIMWI ili waweze kujikimu kimaisha. MIMI nikiwa nasoma demu wangu alikuwa ananiambia sana kuhusu hilo akisisitiza ni siri sana, kwamba ameambiwa na WADENI ambaye alikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.