Migomo Chuo Kikuu cha Dodoma na Maslahi ya Wahadhiri & Wanafunzi

Aisee, kama ni hivyo, wana haki ya kugoma. Ina uma sana. Mtu wa namna hii ni zaidi ya mwizi. Angelikuwa mwuaji, angeliitwa CHAIN KILLER.....

Ni Professor gani anayeweza kudhalilisha U Professor wake kiasi hiki? Hivi kweli ndivyo ilivyo hapo UDOM? Jamani hasira inanipanda mie.


Hawa watu wameshindwa kulipa malimbikizo kwa wakati, leo hii wanalalamika kuwa hawawezi kulipa kwa sababu wafanyakazi wamekuwa wengi.. Huu ni udhaifu mkubwa wa HR, sidhani kama anastahili kuendelea kuwa ofisini.
 
Apigwe chini huyo mbilikimo. Akili zake ni fupi wala hafai kua kiongozi. very useless administrator I have ever meat :nono:
 
:frog::smile-big::Cry::welcome::frog::angel::love::tongue::eyeroll1::ban::ban::ban::ban::ban::frog:
 
Apigwe chini huyo mbilikimo. Akili zake ni fupi wala hafai kua kiongozi. very useless administrator I have ever meat :nono:

Kwa nini watu wanakosa ubinadamu.. Yeye akipigwa kiyoyozi kwenye VX na akitazama majengo yale, basi anaona amefanikisha.
Huu ni ule udhaifu wa kupenda kusifiwa, kunyenyekewa. Mtu yuko radhi aidhalilishe taalum yake ili tu asifiwe na rais??
Hebu wapeni watu haki zao kwa wakati wake.
 
Madai yote ya msingi na wamevumilia sana na vya kutosha wapeni haki yao....period
 
Wizi wizi wizi, alafu mtu ni prof unaiba, na una age more than 55 years, almost umeshaishi 3/4 of your life, unakusanya unapeleka wapi, kwanini lakini, na unashindwa kuelewa facts with your myopic view unasema migomo inasababishwa na chadema, kweli, chadema wanauhusiano gani na kula mishahara ya watu au dharau, na vitisho, hamuwezi kudanganya watu, then utasikia mtu huyo huyo anapelekwa sehemu nyingine baada ya ubadhirifu kama huu, natamani hii nchi ingekuwa kama china, ni death penalty without mercy yaani hii nchi imearibiwa vibaya mno na wanojiita maprof. !@#$%%^
hahaha wanawaibia vitukuu vyao bwana
 
Yote ya msingi kwakweli.
Management ina vitisho sana. Mnabidi muwe ngangari la sivyo hamtafanikiwa.
Kwakweli inaumiza sana ila nawapongeza kwahilo.
"No mlacha no cry"
 
Wadau tunawashukuru kwa kujiridhisha na madai ya wahadhiri hawa, ninaomba sasa tujihadhari na propaganda za watawala kwani imekuwa ni kawaida kutoka kwenye hoja na kuhamisha watu waelekee kitu kingine, Hongera sana wanaudomasa kwa utafiti wa kina
 
Yote ya msingi kwakweli.
Management ina vitisho sana. Mnabidi muwe ngangari la sivyo hamtafanikiwa.
Kwakweli inaumiza sana ila nawapongeza kwahilo.
"No mlacha no cry"
Duhh,,

Kuna watu serikali wakitakiwa kutekeleza majukumu yao wanaona kama wanatoa favor.. Wengine kwenda kukuchukulia file kabatini anataka umnyenyekee..wakati ameajiriwa kwa kazi hiyo..Inakuwaje majina yanakosekana kwenye payroll kwa taasisi kama chuo kikuu ambako kumejaa wasomi wa kila namna..this is ridicolous

somehow, somewhere there is a problem..
 
[QUOTE=MIRADIBUBU =Ninawasiwasi na jinsi yako hebu jiangalie vizuri. Udom inajitegemea na ina mambo yake sisiem mkubwa wewe




HIVI miradibubu si hihi*2 wanayoifanya dada zetu ohio street!!

wewe umeingia humu JF ILI KUKISAFISHA HIKI CHUO CHA KATA.

Nakusihi hakisafishiki kwa kujaza POSTS huku JF
bali kukua kutoka wavulana na wasichana muwe wanaume na wanawake!!!!!!!!!!!!!!
 
1. UDOMASA





Sita, katika kikao cha tarehe 29 Desemba, 2010 kati ya menejimenti ya Chuo Kikuu cha Dodoma na viongozi wa UDOMASA iliripotiwa na menejimenti ya chuo kuwa wafanyakazi 409 hawajasajiliwa katika payroll ya Hazina. Aidha menejimenti imeshindwa kutoa sababu za msingi kwa tatizo hili licha ya kuwa wafanyakazi hao wameshafanya kazi kwa miezi kadhaa sasa. Mkurugenzi wa Rasilimaili Watu katika Chuo hiki alitoa sababu zisizoweza kuaminika kuwa Hazina ndiyo yenye matatizo. Aidha, uongozi wa UDOMASA imeuliza swala hili Hazina lakini lawama zilirudishwa menejimenti ya UDOM. Hali hii ya kutoingizwa wafanyakazi katika Payroll ya Hazina, pamoja na mambo mengine unapelekea wafanyakazi wa UDOM kuishi kwa mashaka makubwa kwa kuwa menejimenti ya UDOM imekuwa ikitenda kazi zake si kwa kuzingatia kanuni bali kwa vitisho. Mkutano umetoa umeazimia kuwa wafanyakazi wote ambao mpaka sasa walikuwa hawajaingizwa kwenye payroll ya Hazina wawe wameingizwa ifikapo mwisho wa mwezi Januari, 2011. Aidha, ofisi iliyohusika na uzembe huu ndani au nje ya menejimenti ya UDOM iwajibike.






Kipindi tukiwa form 1 miaka hiyo tulikuwa tunatishiwa kuwa majina yetu yameandikwa na chaki. Kwamba ukifanya kosa tu wanaenda kufuta ubaoni. Inaonesha hawa watawala wana hii style ya kitoto, ili siku wakijsikia wanakutimua tu. This is Tanzania..:eyeroll1:
 
Katika kikao cha leo tena ushahidi wa wazi umejitokeza ambapo mchezo wa kuwa na majina hewa ya wafanyakazi umeeonekana.
Mhadhiri mmoja ameona fomu mbili zinazotumia jina moja na kuwa check number ya aina moja , tofauti iliyowekwa ili kuwadanganya watu wa hazina ni kucheza na jina la kati katika fomu moja limeandikwa jina kamili la paulo na katika fomu nyingine imetumika P kama kifupisho cha jina majina mengine yote yamebaki kama yalivyo. Walimu wote tunafahamiana sasa swali huyo mwingine ni nani na mshahara huo huingia akaunti ya nani. Ni imani yangu kwamba viongozi wa udomasa watatoa taarifa zaidi juu ya wizi huu unaofanyika

udomasa,yani nyie mnapga daywaka,hamjaajiliwa,bora mwalim wa primary kuliko nyie,NILISHAWAI SEMA,UDOM NI KITUO CHA UTALII AMBACHO KIMEJENGA KIJIJ CHA KISASA,HALAF WAKAZ WAKE WANAISH MAISHA YA KUFIKIRIKA,ah mnachofanyiwa ni uhuni,kaz viongoz kujgamba kuhusu chuo na mbwembwe nyng,kumbe walag
 
Mkubwa huwezi kuwa mkuu wa chuo bila kulamba miguu ya mkubwa. Nakuhakikishia ungekuwa mkuu wa chuo dogo ungemwambia hawakung'oi. Nchi inachefua hii, kila kitu corrupt.
kweli kabisa,anachofanya dvc kinajulikana na wakubwa
 
MOD hii ni hujuma kwa nini hii thread imeunganishwa??????????????????? mbona ni tofauti sana na zinapishana muda kwa kiasi kikubwa? haujatutendea haki kwa kweli
 
Back
Top Bottom