Mimi natafuta mtu mwenye gari ya daladala kutoka tegeta kwenda ubungo au makumbusho,au kariakoo naahidi kumuonesha ndugu zangu wote ambao watakuwa tayari kuulizwa ikiwa kuna lolote litakaloharibika ili kumpa imani na chombo chake.
Na mie niunganishe natafuta kazi ya kufundisha masomo ninayofundisha ni kiswahili na Geography uzoefu mkubwa ukiwa somo la kiswahili, kwani nimelifundisha kwa miezi takribani minne na kuacha kazi baada ya kutokulipwa na kuuliza kuhusu posho yetu ndipo tukafukuzwa walimu 8 kati ya 9 kwa hiyo...
Basi inapendeza but pia million m 2.5 kuipata kwa watoto wa mama ntilie sidhani kama ni rahisi sana kwanini tusijigroup tukaandika proposal tukaingia kuomba hela hiyo kwenye taasisi tukianzisha wao,wawe kama sehemu ya wamiliki kwa muda mpaka pesa yao na riba yao itakapokamilika.ndipo waondoke...
Hapo inabidi utafiti juu ya mkoa wa kujenga ambao una mwamko wa kusoma na wenye vipato vya kusomesha watoto mfano Tabora sio sehemu nzuri kwa kuwa watu wake ni maskini na hawana mwamko wa kuwapeleka watoto shule napendekeza mkoa wa Kilimanjaro lakini angalizo kumbuka unapaswa uwe na kibali cha...
Cha kufanya ww kama unaweza mwambie huyo mwanamke huwezi kufanya hivyo maana unajua uchungu wa mtu kuliwa mke wake na umwambie nataka nimtafutie kazi ili waendelee kufurahia maisha kama walivyokuwa zamani.
Matamko ni kweli alisema hakuchaguliwa kuongeza mishahara sasa watu walishindwa kunyambua anazungumzia wote au madiwani maana analisema hilo na kweli watu wanalia wakisema hawajaongezewa mishahara usikute hizo ni figure zinatajwa tu kwenye makaratasi halafu zinasemwa zimeshalipwa kama unataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.