Mwalimu Truth
Member
- Feb 15, 2015
- 57
- 78
Wana jf habari zenu?? Natafuta tuition ya kufundisha somo la biology kwa olevel na agricultural science kwa olevel na advance,mwezi wa kumi na mbili. Sehemu yoyote ndani ya jiji la dar es salaam...... Niko chuo mwaka wa kwanza nasoma stashahada ya ualimu wa secondar biology na agriculture....!! Anayenihitaji au kunipatia ushauri wowote anaweza nitafuta kwa namba hizi 0629905923 ,0763338857