Recent content by Barcode

  1. Barcode

    Diaspora Wetu Wanafanya Nini cha Kuonekanika Huko Ughaibuni?. Diaspora Mliofanikiwa, Onekanikeni Kupitia TAK na Rudisheni Tanzania Japo Kidogo!

    Yaani uraia pacha hamtaki kuwapa halafu kwenye kusaidia Hospitali watu kulala chini mnawatafuta. Hao ni raia wa kigeni kama wazungu tu ni mpk pale mtakapowatambua na uraia wao halisi wa kuzaliwa. Sio hicho kiini macho cha Special Status.
  2. Barcode

    Nalazimishwa kumuoa binti niliyemzalisha lakini nimegoma. Sheria za nchi zinasemaje?

    Lea mtoto acha kukimbia majukumu lofa wewe……
  3. Barcode

    Ukiangalia jinsi Rais Ruto alivyopokelewa kwa heshima Marekani utashangaa

    Tofautisha Mwaliko na kujipeleka mwenyewe kwenye nchi za watu.
  4. Barcode

    PreGE2025 Maandamano ni Haki ya Vyama vya Siasa, Serikali itoe kila ushirikiano kwa CHADEMA hata kama uelekeo ni Ikulu

    Serikali ya CCM ni waoga wa mabadiliko, hawawezi kukubali maandamano.
  5. Barcode

    Milioni 150 Rais Samia kaipata wapi?

    Jamaa anahoji maswali ya msingi. Kwa sababu tumekuwa kizazi cha ufisadi na kuona kuwa Raisi wa nchi ni mfalme yuko juu ya kila kitu, ndiyo maana tunaona sawa. Kugawa pesa barabarani, kutoa pesa kwa magoli ya mpira kwa vilabu binafsi. Kusema mheshimiwa Rais katoa pesa hii kujenga mradi huu. Hii...
  6. Barcode

    Athari za chanjo ya mzungu kwa Waafrika

    Huyu naye ndo anaendeleza ujinga wa mtoa hoja. Yaani mzungu kama angekuwa na nia ya kutupunguza anaweza kwa kiasi kikubwa. Dawa karibu zote za mahospitali tunapewa na wao, chanjo za polio, chanjo karibu zote za watoto wadogo wanatoa wazungu, dawa za HIV zote wanatoa wao tena bure. Sasa kama ana...
  7. Barcode

    Msaada wa list za spear za malori zinazotoka sana

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nahitaji msaada wa kujua ni spear zipi za malori makubwa ya mizigo zinazotoka sana ama zinazonunuliwa sana. Nataka kuanzisha biashara ya kuuza spares used na mpya za malori makubwa ya mizigo kama Scania, Daf, Benz Actros etc. kutoka UK. Kwa kuwa mtaji...
  8. Barcode

    Nataka kumiliki Scania R450. Je, pesa itarudi baada ya muda gani?

    Uzi safi sana huu umelenga nilichokua natafuta
  9. Barcode

    Tulioenda majuu na kurudi home, tukutane hapa tupeane uzoefu, mafanikio na sababu zilizotufanya turudi

    Hivi mkuu kwa akili yako kweli unakuta watu wamejikalia zao wanakula kunywa na maongezi yao, wewe unakwenda kujoin huwajui hawakujui kweli huo mi ustaarabu kweli. Huo pia unaita ubaguzi? Embu jaribu hata hapa bongo uone watu watakuchukuliaje.
  10. Barcode

    Nani Mtanzania gani ana followers Instagram zaidi hawa?

    Yaan ww badala ya kuanzisha uzi wenye manufaa kwako ama kwa watu wengine unatafuta nani ana followers wengi insta ? Ok ushajua sasa Diamond anaongoza wengine wafuata then what?
  11. Barcode

    Nani Mtanzania gani ana followers Instagram zaidi hawa?

    Sasa ww mwenye akili nyingi fafanua mtu mwingine awe na followers wengi insta ww binafsi inakusaidia nn kuendesha maisha yako?
  12. Barcode

    Nani Mtanzania gani ana followers Instagram zaidi hawa?

    Ukishajua then inakusaidia nn kuendesha maisha yako
  13. Barcode

    Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

    Hii habari haiko balanced. Tunatoa shutuma nyingi kwa serikali lkn uhalisia wa tukio lenyewe ni kuwa tunahisi tu. Inawezekana kabisa tajiri huyu alikuwa na michezo michafu ya kukwepa kodi, kumiliki kiasi kikubwa cha fedha in cash etc Yote hayo ni makosa, mlitaka aachiwe kisa tu anatoa ajira...
Back
Top Bottom