Recent content by Baraka21

  1. Baraka21

    Natafuta mume

    Jf ina wapumbavu wengi sana kama wewe?
  2. Baraka21

    Natafuta mume

    Kwanini usikae kimya kuficha upumbavu wako?
  3. Baraka21

    Afrika tuige siasa kama hizi

    Kweli boss. Ila Kikwete alithubutu kusema ninaumwa tezi dume
  4. Baraka21

    Afrika tuige siasa kama hizi

    Kuna nchi ya kusadikika rais wake alikufa na maiti ikafichwa kama mbwa tu. Hii sio sawa tuweke sawa rekodibza afya za viongozi wetu.
  5. Baraka21

    Afrika tuige siasa kama hizi

  6. Baraka21

    Suala la Maji: Utawala corrupt unatuletea shida, Mchina akamatwa akichepusha maji mto Ruvu kumwagilia mboga

    Lita milioni moja kwa saa? Kwa siku lita milioni 24, kwa wiki, mwezi, mwaka huo mto ungekuwa umeisha. CCM hilo limashine la Lister Peter tena la Diesel ndio linavuta lita milioni moja kwa saa?
  7. Baraka21

    Ni biashara gani unaweza kufanya isiyohitaji uangalizi wa mara kwa mara?

    Fuga kuku wa kienyeji. Asubuhi unawafungulia wanaenda kupambana kutafuta msosi jioni wanarudi.
  8. Baraka21

    Ukuta wa Mirerani upo lakini bado Tanzanite inaibwa...

    Wanaolinda Mererani ni JWTZ, wao wameshidwa kuzuia wizi unawatuma TAKUKURU wataweza?
  9. Baraka21

    Wakati nikiwa siwataki tena Makocha Gomez na Hitimana, Wafuatao upesi sana Wafukuzwe na Wasimamishwe Simba SC

    Kweli mkuu. Simba wamefungwa kiufundi sio kiuchawi wala kuuza mechi.
  10. Baraka21

    Wakati nikiwa siwataki tena Makocha Gomez na Hitimana, Wafuatao upesi sana Wafukuzwe na Wasimamishwe Simba SC

    Umenena vyema. Kuna wajinga wanampa lawama wakati mpira wote tumeuona.
  11. Baraka21

    Wakati nikiwa siwataki tena Makocha Gomez na Hitimana, Wafuatao upesi sana Wafukuzwe na Wasimamishwe Simba SC

    KWA HIYO SIMBA HASTAHILI KUFUNGWA? YEYE AFUNGAGE TUUUU! HAO MLIWAFUNGA BOTSWANA WAKAJIPANGA WAKAJA MAPEMA. ACHENI DHAMBI ZA KUSINGIZIA MANULA KAUZA MECHI. HUO NI USHETANI. MPIRA UNA MATOKEOA MATATU. KAMA BARCELONA ANAFUNGWA SEMBUSE SIMBA, WAPUMBAVU WAKUBWA NYIE. ACHENI KUSINGIZIA WATU...
  12. Baraka21

    Wakati nikiwa siwataki tena Makocha Gomez na Hitimana, Wafuatao upesi sana Wafukuzwe na Wasimamishwe Simba SC

    MKUU WEWE JAMAA UNA MAJUNGU SANA. HIVI MPIRA WENYEWE ULIANGALIA? WEWE UNADHANI GALAXY NI TIMU NDOGO NA MASKINI KAMA BIASHARA MARA? ILE MECHI YA KWANZA BAADA YA SIMBA KUFUNGA MBILI ZA HARAKA HARAKA ULIONA MPIRA ULIOCHEZWA? KAMA MNA AKILI MSINGEJIAMINI KUPITA KIASI. HIYO TIMU NI NZURI SANA.
  13. Baraka21

    Hivi ni sababu zipi za msingi zinazofanyaga Kagere asianze kucheza??

    Kocha hampendi Kagere. Malipo yake ndio hayo.
Back
Top Bottom