Sudan: Viongozi kadhaa akiwemo Waziri Mkuu, Abdallah Hamdok wadaiwa kukamatwa. Jeshi lavunja Utawala wa Kiraia

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Kwa mujibu wa Kituo cha Al-Hadath TV, Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Abdallah Hamdok amewekwa katika kifungo cha nyumbani huku Viongozi kadhaa wa Utawala wa Kiraia wakikamatwa

Hali Nchini humo imekuwa tete tangu kushindwa kwa jaribio la kufanya Mapinduzi Mwezi Septemba. Kukamatwa kwa watu hao kumekuja wakati kuna mvutano kati ya Jeshi na Mamlaka ya Kiraia

Pia, kuna Ripoti zinazodai huduma ya intaneti ipo chini katika Mji Mkuu wa Sudan, Khartoum

UPDATE: JESHI LAVUNJA UTAWALA WA KIRAIA

Jeshi la Sudan limevunja Utawala wa Kiraia, limewakamata Viongozi wa Kisiasa na kutangaza Hali ya Dharura. Waandamanaji wameonekana Barabara Mjini Khartoum, na kuna ripoti za risasi kufyatuliwa

Kumekuwa na mvutano kati ya Viongozi wa Kijeshi na Kiraia tangu Mtawala wa muda mrefu wa Nchi hiyo, Omar al-Bashir alipopinduliwa miaka miwili iliyopita

=======

Military forces in Sudan have put Prime Minister Abdallah Hamdok under house arrest and arrested several members of the country’s civilian leadership, according to Al-Hadath TV.

The Dubai-based broadcaster, citing unidentified sources, said a military force besieged the prime minister’s home early on Monday before placing him under house arrest.

It said those taken into custody include Industry Minister Ibrahim al-Sheikh, Information Minister Hamza Baloul, and media adviser to the prime minister, Faisal Mohammed Saleh.

The spokesman for Sudan’s ruling sovereign council, Mohammed al-Fiky Suliman, and the governor of Sudan’s capital Khartoum, Ayman Khalid, were also arrested.

The Associated Press said Sudanese officials who spoke to the news agency on the condition of anonymity confirmed the arrests.

Sudan has been on edge since a failed coup plot last month unleashed bitter recriminations between military and civilian groups meant to be sharing power following the toppling of the country’s long time leader Omar al-Bashir.

Al-Bashir was toppled after months of street protests in 2019, and a political transition agreed after his removal was meant to lead to elections by the end of 2023.

Al Jazeera’s Hiba Morgan, reporting from Khartoum, said “telecommunications access has been restricted” in the country “so it’s very hard to communicate with people here”.

“The military has also blocked all roads and bridges leading into Khartoum city. We’ve seen soldiers blocking access and they are telling us these are the orders they got. They are saying access to Khartoum city is to be restricted, and this is raising concern because that’s where the government institutions are, that’s where the presidential palace and the prime minister’s offices are located.”

There was no immediate comment from the military, with Sudanese state television broadcasting patriotic songs. But Al Hadath said Abel Fattah al-Burhan, the head of the Sudan sovereign council, was soon expected to make a statement on Monday’s developments.

Meanwhile, the Sudanese Professional’s Association, the country’s main pro-democratic political group, called the military’s moves an apparent military coup and called on the public to take to the streets.

“We urge the masses to go out on the streets and occupy them, close all roads with barricades, stage a general labour strike, and not to cooperate with the putschists and use civil disobedience to confront them,” the group said in a statement.

Last week, tens of thousands of Sudanese marched in several cities to back the full transfer of power to civilians, and to counter a rival days-long sit-in outside the presidential palace in Khartoum demanding a return to “military rule”.

Hamdok has previously described the splits in the transitional government as the “worst and most dangerous crisis” facing the transition.

More soon …

Source: Al Jazeera
 

Live Updates: Sudan’s Military Declares State of Emergency, Detains Prime Minister​

In a coup on Monday morning, the armed forces took the prime minister to an undisclosed location as they seized control of the government. Sudan had been preparing to transition to civilian leadership for the first time in three decades.


Source: The New York Times
 
Hata kuachishwa ziwa madogo hukomaa. Nyuma ya usukani huwa haiwaingii haraka mamlaka kuwa mikononi mwa wananchi:

IMG_20210911_000004_180.jpg


Pole pole tutafika tu:

IMG_20211025_140140_228.jpg
 
Mbona Rwanda na Uganda hawafanyi hizo coup kwa hao majenerali waliokaa muda mrefu na hawana dalili ya kuachia madaraka leo au kesho
 
Mbona ulaya na amerika hakuna upuuzi huu wa mapinduzi ya kijinga? Kule ukisikia mapinduzi ni ya viwanda na kilimo, hakuna upuuzi kama huu wa nchi za kiafrika kupinduana wenyewe kwa wenyewe
 
Another Libya cooking in kitchen or rather in the making...Bashir had glued the country together, let them pay the price.
 


Yaani huwa nashangaa sana wanapotuma ujumbe kwa kuchoma matairi kwenye Lami waliojenga kwa jasho lao

Baadae tena hela zinawatoka tena kodi maradufu na bidhaa kupanda bei ila yote hayo hawayaoni

Kundamana bila kuunguza lami na kuchoma majengo inawezekana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom