Kama tu Mchina wa mchicha anawatoa jasho,je wa bandari ya Bagamoyo watamdhibiti kweli?Hii nchi haina mwenyewe.
Mkuu,kwa mujibu wa mzee Kasesela hapo hizo ni lita milioni 2 zinatolewa zisilete madhara kwenye mitambo.
Kwa hiyo lita milioni moja ni nusu ya hayo maji uyaonayo hapo.
Tunaambiwa tena mchina anayatumia ndani ya lisaa tu,kumwagilia matembele na mchicha ..maamae bongo tunaonana wajinga sana!
Kizaramo Anaitwa BangusiroMbuzi wa kafara
Mataga Akili zinawarudia sasa au mmekosa poshokuna watu nchi imewashinda kuongoza.