Suala la Maji: Utawala corrupt unatuletea shida, Mchina akamatwa akichepusha maji mto Ruvu kumwagilia mboga

Hiyo bodi ya maji ilipaswa wote wawe wameachishwa kazi baada ya kutangaza hii taarifa. Bodi ilikuwa likizo na sasa ndo wamerudi kazini baada ya madhara kuwa makubwa
Nchi hii tumekosa plan nzuri tu ya kuyatumia maji tuliyonayo hii nchi Ina vyanzo vingi vya maji uyo machina km tungekuwa na plan nzuri WALA tusingeona athari yake

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma karibu comments zote na kila mtu amecomment kutokana na uelewa wake.

Ni kweli mkulima huyu wa mbogamboga alitumia fursa iliyotangazwa na serikali kukaribisha wawekezaji waje kuwekeza.Akaja kupitia uhamiaji kama alipitia na naamini alipitia kwa sababu anapolima kuna viongozi wa serikali,kuanzia balozi,wenyeviti mbalimbali,mbunge n.k.

Haikutosha,serikali ikawa inahamasisha kulima kilimo cha umwagiliaji,Mchina akajiongeza akakianzia,na wananchi wengine wengi,nao tunawafahamu wanafanya kilimo cha umwagiliaji na mboga zao tunakula kila siku.Imekuwaje leo hii,kilimo cha umwagiliaji kwa mchina kiwe haramu lakini kwa wengine kiwe halali.Au serikali ilikuwa na maana gani kuhamasisha kufanya kilimo cha umwagiliaji,au walikuwa wanamaanisha kumwagilia kwa kutumia ndoo ya mkono.

Huyu Mchina hakuanza kulima leo.Labda mniambie kuwa hakuwa na kibali cha kuishi nchini.Na kama ni hivyo kwa nini hakukamatwa siku zote.Hii tafsiri yake taasisi ya usalama imelala usingizi mzito,inasubiri kuambiwa ya kuwakamata viongozi wa upinzani raia wa nchi hii na kuwapa makesi makubwa makubwa ambayo hayana dhamana.

Na hapa napenda kusema hivi.ni maoni yangu.Kukamatwa kwa Mchina kumetokana na kukatika kwa umeme kitu ambacho sio sahihi.Kama sababu ya umeme kupungua ni Mchina kumwagilia Serikali mnatudanganya.Tafuteni sababu nyingine.

Mmetueleza sababu nyiiiiingi sana za ubabaishaji,mara mashine hazikufanyiwa service kipindi cha JPM.Kwa nini kipindi hicho hizo mashine hazikufa? mara maji yamepungua nk. Nitaendelea tena chai inapoa
Kuna kibali cha kuchepusha maji. Kama angekuwa nacho angekionyesha kwa hao waliomtembelea. Hata ukiwa Mbongo kibali ni lazima na hii sheria ipo.

Kama watu wa Morogoro milimani kule wangeruhisiwa wagawane hayo maji hata hapo Ruvu yasingefika au yangefika kidichu sana.
 
View attachment 2016617

Nataka niongee kwa hasira kali na leo Mod naomba mnivumilie lugha yangu. Hapa bongo kuna mambo ya kikhanithi yanaendelea sana na matokeo yake wananchi tunapata shida kwa sababu ya ukhanithi wa watu wachache.

Leo Nipashe wametoa taarifa kuwa kuna mchina amekamatwa anachepusha maji ya mto ruvu lita milioni moja kwa saa kumwagilia mbogamboga zake tu. Huu kama siyo ukhanithi ni kitu gani?

Huyu mtu haiwezekani anaingia nchini, anapewa vibali vyote halafu eti serikali isijue, Haiwezekani labda kama ni serikali ya mazuzu.

Leo kwa sababu kimenuka, maji hakuna wanajifanya kuja mbelembele kukamata bangusilo ili wammwagie lawama.

Tumeshasema mara kibao kuwa huu uhusiano wa kifala kati ya serikali yetu na wachina unatugharimu sana. Wachina wamekata miti sana nchi hii, Wao ndo wanconsume magogo ya miti kwa rate ya kutisha, halafu juzi serikali inajifanya kujikosha kwa kuzuia biashara ya magogo. Ilikuwa wapi siku zote?

Leo nilikuwa namsikiliza waziri wa zamani katika mtandao w clubhouse anaeleza kipindi alivyokuwa waziri wa mazingira alipojaribu kuwadhibiti wachina wasimalize misitu yetu. akapigiwa simu na wakubwa awaachie tu wachina waendelee!. Huu kama siyo uhujumu uchumi kwa nchi yetu ni nini?. Huu kama siyo Ukhanithi ni kitu gani?

Tunataka serikali yetu iache kuwaabudu Wachina, Tunataka serikali ilinde rasilimali za nchi hii. Hii tabia ya ubinafsi uliokithiri, upumbavu na kuuza nchi kukomeshwe mara moja.

Na wale wakubwa wanaouza nchi kwa vizawadi vidogo vya kufanyiwa massage huko Beijing waache mara moja tabia hizi za Kikhanithi
Inawezekana kabisa hao hao waliomkamata ndiyo hao hao waliompa kibali " water use permit" na kibali kimelipiwa.
 
View attachment 2016617

Nataka niongee kwa hasira kali na leo Mod naomba mnivumilie lugha yangu. Hapa bongo kuna mambo ya kikhanithi yanaendelea sana na matokeo yake wananchi tunapata shida kwa sababu ya ukhanithi wa watu wachache.

Leo Nipashe wametoa taarifa kuwa kuna mchina amekamatwa anachepusha maji ya mto ruvu lita milioni moja kwa saa kumwagilia mbogamboga zake tu. Huu kama siyo ukhanithi ni kitu gani?

Huyu mtu haiwezekani anaingia nchini, anapewa vibali vyote halafu eti serikali isijue, Haiwezekani labda kama ni serikali ya mazuzu.

Leo kwa sababu kimenuka, maji hakuna wanajifanya kuja mbelembele kukamata bangusilo ili wammwagie lawama.

Tumeshasema mara kibao kuwa huu uhusiano wa kifala kati ya serikali yetu na wachina unatugharimu sana. Wachina wamekata miti sana nchi hii, Wao ndo wanconsume magogo ya miti kwa rate ya kutisha, halafu juzi serikali inajifanya kujikosha kwa kuzuia biashara ya magogo. Ilikuwa wapi siku zote?

Leo nilikuwa namsikiliza waziri wa zamani katika mtandao w clubhouse anaeleza kipindi alivyokuwa waziri wa mazingira alipojaribu kuwadhibiti wachina wasimalize misitu yetu. akapigiwa simu na wakubwa awaachie tu wachina waendelee!. Huu kama siyo uhujumu uchumi kwa nchi yetu ni nini?. Huu kama siyo Ukhanithi ni kitu gani?

Tunataka serikali yetu iache kuwaabudu Wachina, Tunataka serikali ilinde rasilimali za nchi hii. Hii tabia ya ubinafsi uliokithiri, upumbavu na kuuza nchi kukomeshwe mara moja.

Na wale wakubwa wanaouza nchi kwa vizawadi vidogo vya kufanyiwa massage huko Beijing waache mara moja tabia hizi za Kikhanithi
Na wakiendelea hivi na uhanithi wao na ufala tutaichukua nchi wenyewe kwa kuendesha propaganda za kushawishi wananchi wasishiriki kwenye kazi yoyote ya serikali, ikiwa ni pamoja na ulinzi wa ofisi na viongozi wa serikali.
 
Tutasahau tu!

Baada ya mvua kunyesha yote haya tutasahau na watz watarudi kwenye maisha yao kama kawaida kwani hata tozo ilikuwa hivi hivi
Majitu yanayolalamikia sana maji pia utakuta jitu hilo halijawahi kupanda hata mti mmoja na anaishi kwenye nyumba ambayo ana uwezo wa kupanda hata miti miwili ya matunda au kivuli na hajapanda. Watanzania tupo milioni 60 iwapo kila mmoja atapanda mti mmoja kila mwaka tutakuwa na miti mingi sana. Mlioko mijini pia pandeni miti kwenye kila nafasi ya udongo ambayo ipo wazi, tia mti hapo
 
Hii issue itatulizwa huyo Mama kadhani kakamata atapigiwa simu tu slow down huyo hajaanza leo anakila kitu na story itakufa kama ilivyokuja. Nchi hii drama tu. Kesho kama hujasikia kiwanda tumeshika kinatumiwa MW 5 kwa saa ndio maana umeme hautoshi blaa blaa nyingi.
 
Huyo mchina ameanza lini kumwagilia mboga zake? na kina nani wanaohusika kumpa kibali cha kufanya hivyo? jibu ni hawa hawa viongozi wa CCM ambao leo wanatupigia kelele za kutunza mazingira.

Lakini pia, hayo maji ya mchina yakiachwa yakabaki mto Ruvu mwisho wa siku hizo lita zote zitaishia baharini kama hapatakuwepo na kiangazi kama kilichopo sasa.

Hivyo kama hao viongozi wakijitetea kwa kusema walitoa kibali kwa mchina wakati hali inaruhusu sijui mtawafanyaje hasa ikizingatiwa kila siku tunasisitizwa kilimo cha umwagiliaji ndio chenye tija, sasa iweje leo mwekezaji aonekane mbaya kwa kutumia fursa iliyopo?

Hapa sioni sababu ya kulia, kama pakiwepo na namna nzuri ya kutunza maji ya mvua wakati zikinyesha either kwa kujenga mabwawa au vinginevyo ndio njia nzuri ya kuepuka hili tatizo mbele ya safari, badala ya kumgeukia mwekezaji aonekane adui bila sababu yoyote, wakati adui yetu ni uzito wa kufikiri wa vichwa vya viongozi wetu.
Viongizi wa CCM hawafanyi kazi za umma wanaofanya kazi hizo wapo wasio kua na vyama na wapo wa vyama tofauti,
Kun watu wanajipendekeza kwa CCM huku wana mapenzi na ufipa.
Hilo unatakiwa kujua.
 
View attachment 2016617

Nataka niongee kwa hasira kali na leo Mod naomba mnivumilie lugha yangu. Hapa bongo kuna mambo ya kikhanithi yanaendelea sana na matokeo yake wananchi tunapata shida kwa sababu ya ukhanithi wa watu wachache.

Leo Nipashe wametoa taarifa kuwa kuna mchina amekamatwa anachepusha maji ya mto ruvu lita milioni moja kwa saa kumwagilia mbogamboga zake tu. Huu kama siyo ukhanithi ni kitu gani?

Huyu mtu haiwezekani anaingia nchini, anapewa vibali vyote halafu eti serikali isijue, Haiwezekani labda kama ni serikali ya mazuzu.

Leo kwa sababu kimenuka, maji hakuna wanajifanya kuja mbelembele kukamata bangusilo ili wammwagie lawama.

Tumeshasema mara kibao kuwa huu uhusiano wa kifala kati ya serikali yetu na wachina unatugharimu sana. Wachina wamekata miti sana nchi hii, Wao ndo wanconsume magogo ya miti kwa rate ya kutisha, halafu juzi serikali inajifanya kujikosha kwa kuzuia biashara ya magogo. Ilikuwa wapi siku zote?

Leo nilikuwa namsikiliza waziri wa zamani katika mtandao w clubhouse anaeleza kipindi alivyokuwa waziri wa mazingira alipojaribu kuwadhibiti wachina wasimalize misitu yetu. akapigiwa simu na wakubwa awaachie tu wachina waendelee!. Huu kama siyo uhujumu uchumi kwa nchi yetu ni nini?. Huu kama siyo Ukhanithi ni kitu gani?

Tunataka serikali yetu iache kuwaabudu Wachina, Tunataka serikali ilinde rasilimali za nchi hii. Hii tabia ya ubinafsi uliokithiri, upumbavu na kuuza nchi kukomeshwe mara moja.

Na wale wakubwa wanaouza nchi kwa vizawadi vidogo vya kufanyiwa massage huko Beijing waache mara moja tabia hizi za Kikhanithi
Nchi ya kipumbavu sana hii...
Ujinga ujinga tu....
 
Yaani umuachie mhalifu ambaye most likely kuna wakubwa aliowahonga ili afanye uharamia huo aendelee?
Huyu mchina hana kosa. Kapewa kubali cha kuchukua maji mto ruvu na serikali, N hicho kiasi karuhusiwa. Mimi niwaulize kuna bwawa lilikuwa linajengwa eneo la KIDUNDA karibu na mji wa morogoro zaidi ya niaka 5 iliyopita nia ilikuwa kuhakikisha maji ya mto ruvu hayapungui ILIKUWAJE HALIJAKAMILIKA UJENZI WAKE? MBONA HALIJAISHA BWAWA NDOGO TU?
 
Sisi Kazi yetu ni kuyaacha maji yapotee baharini,mchina kaona fursa maji yapotee shambani kwake.
Serikali haina ubunifu hiyo project ya mchina ilifaa ifanywe na vijana wetu ni aibu sana kwa karne kuyaacha maji yamwagike baharini badala ya kwenye mashamba.
 
Inasikitisha sana...

cha kushangaza alifuata taratibu zote za kiserikali na kibali akapewa kama muwekezeaji kwa miaka yote hiyo...
 
Mchina kukamatwa ni propaganda tu ili kutuaminisha ujinga, kwamba hapo mtoni hakuna ulinzi wala usimamizi wala ufuatiliaji wa mifumo ya usalama?? shame on you, yaani mtu afunge mitambo na afanye kazi bila serikali kuwa na taarifa halafu shida ya umeme ikianza ndo wajue kwamba kuna mchina ,tafuteni njia bora ya kutatua kero ya umeme na siyo kuleta sinema za kutengeneza hapa
 
Huyo mchina ameanza lini kumwagilia mboga zake? na kina nani wanaohusika kumpa kibali cha kufanya hivyo? jibu ni hawa hawa viongozi wa CCM ambao leo wanatupigia kelele za kutunza mazingira.

Lakini pia, hayo maji ya mchina yakiachwa yakabaki mto Ruvu mwisho wa siku hizo lita zote zitaishia baharini kama hapatakuwepo na kiangazi kama kilichopo sasa.

Hivyo kama hao viongozi wakijitetea kwa kusema walitoa kibali kwa mchina wakati hali inaruhusu sijui mtawafanyaje hasa ikizingatiwa kila siku tunasisitizwa kilimo cha umwagiliaji ndio chenye tija, sasa iweje leo mwekezaji aonekane mbaya kwa kutumia fursa iliyopo?

Hapa sioni sababu ya kulia, kama pakiwepo na namna nzuri ya kutunza maji ya mvua wakati zikinyesha either kwa kujenga mabwawa au vinginevyo ndio njia nzuri ya kuepuka hili tatizo mbele ya safari, badala ya kumgeukia mwekezaji aonekane adui bila sababu yoyote, wakati adui yetu ni uzito wa kufikiri wa vichwa vya viongozi wetu.
Well said
 
Mchina naye mjanja Kama mabwawa,yalipoona January kapewa ulaji,yakaanza kukauka.

Mchina alipoona January kapewa ulaji akaanza kuchepusha maji.

Maji nayo yalipogundua JPM hayupo yameanza mgomo,wakati ule yaliogopa maana alisema hajaribiwi.
 
Mala kumi mamlaka ya maji ifanye tathimini ya kiasi cha maji anacho tumia then alipe ili aendelee kulima mpaka atakavyo vuna mazao yaliopo shambani then akuna kutoa kibari Cha kulima baada ya kuvuna mazao yake kuliko kumzuia kumwagilia kwa sasa maana wote tutapata hasara
😂😂😂kwamba anamaliza maji!?
Wakati maji yenyewe yanaenda baharini!
Ingekuwa anaharibu chanzo cha maji sawa sasa kutumia maji yanayojipitia ndio kosa!?
 
Back
Top Bottom