Nchi hii tumekosa plan nzuri tu ya kuyatumia maji tuliyonayo hii nchi Ina vyanzo vingi vya maji uyo machina km tungekuwa na plan nzuri WALA tusingeona athari yakeHiyo bodi ya maji ilipaswa wote wawe wameachishwa kazi baada ya kutangaza hii taarifa. Bodi ilikuwa likizo na sasa ndo wamerudi kazini baada ya madhara kuwa makubwa
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app