Nguo zinachangia asilimia kama 80,yaan utakuta mtu akivaa nguo akiboost na manyonyo unaweza sema "chuchu saa sita" kumbe saa 10 kabsaa"so nguo zinawasaidia waonekane na mvuto..ukitaka kuamini kwann zaman hakukuwepo na haya mambo ya chura lkn asaiv ndo yameshamiri unataka kuniambia mademu wa...
Kujiajiri ni kuzuri sana kwa kwel,ila mwanzo unakuwaga mgumu kama alivyosema mdau fulan hapo juu kwamba unaweza kuwaza kurud tena kuajiriwa,lkn baadae mambo yakishakaa sawa unakula bata 2 na mambo yanaenda sawa mpaka utasema nilikuwa wap ck zote,...kuajiriwa huwez kuwa tajiri...ila ukijiajir una...
Nadhani kama sikosei eva ni kwa lugha ya kizungu yaan "eve" na kwa kiswahili ni "hawa" so eve ni utofaut wa lugha lkn ni huyo huyo hawa...kama nmekosea m2 anisahihishe!!!!
Hapo umezama kwenye maswala ya nyota...wengi hatujui nyota zikoje yaan nyota ipi na ipi zinapatana na nyota zipi hazipatani tukishapata elimu hyo nadhan tutajua jins ya kuchagua wapenz...binafsi sijui maswala ya nyota....
Hapo umenena me huwaga nawapatia hataree nawapaga masaa ma3...utakuta namwambia tuonane saa 7...kumbe me target yangu saa 10 kabsa na unakuta anafika saa 10 kwel so wanawake i inabid kuishi nao kwa akili sana, ata kwenye biblia imeandikwa....mwanaume usipokuwa na akili kila ck utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.