Adam na Hawa au Adam na Eva?

Adam na Hawa au Adam na Eva?

Shetani yuko kazini . huyu kauliza vizuri anataka kujua ili imani take ikue. Hamjamtrndea haki. Shetani kazi yake ni kuhakikisha neno LA Mungu linahagifishwa..
 
Habarini jamani ,

Baada ya salamu naomba nisiwachoshe wala tusichoshane na maneno mengi, natua moja kwa moja kwenye mada ,

Katika kusoma soma kwangu Biblia toka kwanzo hadi nilipoishia Mwenyezi Mungu aliumbwa Adamu na Hawa , Hivyo hivyo katika kupitia pitia Qur-an katika kipengele hicho hicho cha uumbaji wa Mungu , aliumba Adamu na Hawa,

Sasa nasikia wengine wakisema Mungu aliumba Adamu na Eva, huyu Eva ni yupi na mbona hata Biblia haijamtaja Adamu na Eva bali ni Adamu na Hawa, huyu Eva amekujaje labda?
itakuwa eva ni jina la hawa la ubatizo...............
 
  • Thanks
Reactions: sab
Nadhani kama sikosei eva ni kwa lugha ya kizungu yaan "eve" na kwa kiswahili ni "hawa" so eve ni utofaut wa lugha lkn ni huyo huyo hawa...kama nmekosea m2 anisahihishe!!!!
 
Shetani yuko kazini . huyu kauliza vizuri anataka kujua ili imani take ikue. Hamjamtrndea haki. Shetani kazi yake ni kuhakikisha neno LA Mungu linahagifishwa..
You are right ,
 
Ukishajua majina itakuaje sasa....au unataka kufanya zindiko??
Kama huna jibu basi tulia mkuu, maana swali halijibiwi kwa swali bali swali kwa jibu mkuu
 
Eva alikuwa mke wa kwanza alipozingua ndo Mungu akampa usingizi Adam akamtoa ubavu akamtengeneza Hawa
 
  • Thanks
Reactions: sab
Eve ni kiingereza kwa kiswahili Hawa. Soma biblia zote za kiingereza huoni Hawa ila Eve. Na kuna majina mengi tu ambayo yanasomeka kwa kiingereza vingine na kiswahili vingine.
 
  • Thanks
Reactions: sab
Habarini jamani ,

Baada ya salamu naomba nisiwachoshe wala tusichoshane na maneno mengi, natua moja kwa moja kwenye mada ,

Katika kusoma soma kwangu Biblia toka kwanzo hadi nilipoishia Mwenyezi Mungu aliumbwa Adamu na Hawa , Hivyo hivyo katika kupitia pitia Qur-an katika kipengele hicho hicho cha uumbaji wa Mungu , aliumba Adamu na Hawa,

Sasa nasikia wengine wakisema Mungu aliumba Adamu na Eva, huyu Eva ni yupi na mbona hata Biblia haijamtaja Adamu na Eva bali ni Adamu na Hawa, huyu Eva amekujaje labda?
Tuna mapokeo mengi kwenye hizi dini lakini tofauti ya lugha ndio msingi wa hizo tofauti... Hawa ni kiswahili /kiarabu, wakati Eva limetoholewa kutoka kwenye kiingereza Eve... Kama ilivyo kwa kaini-cain nknk
 
Habarini jamani ,

Baada ya salamu naomba nisiwachoshe wala tusichoshane na maneno mengi, natua moja kwa moja kwenye mada ,

Katika kusoma soma kwangu Biblia toka kwanzo hadi nilipoishia Mwenyezi Mungu aliumbwa Adamu na Hawa , Hivyo hivyo katika kupitia pitia Qur-an katika kipengele hicho hicho cha uumbaji wa Mungu , aliumba Adamu na Hawa,

Sasa nasikia wengine wakisema Mungu aliumba Adamu na Eva, huyu Eva ni yupi na mbona hata Biblia haijamtaja Adamu na Eva bali ni Adamu na Hawa, huyu Eva amekujaje labda?
Kwani ukishajua itakusaidia vipi?
 
Hawa ni jina la lugha ya Kiswahili.
Eve au Eva ni jina la Hawa kwa Kiingereza.
Soma.
Mwanzo 3 : 20.
katika Biblia ya Kiswahili na ya Kiingerza utaona.
 
Back
Top Bottom