GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,795
Kuna Demu mmoja nilikuwa ' nikibanduana ' nae tokea January 2018 hadi March mwishoni hivi na nakumbuka nilikuwa nabahatisha mno kuokota Pesa zilizodondoshwa barabarani na Watu na hata ' madili ' yangu kwenda ninavyotaka yaani ni raha na mafanikio tupu ila niligombana nae baada ya Yeye ' Kunifumania ' ila tokea nianzishe mahusiano na Demu huyu wa April hii yaani najuta na kila ninalogusa Mimi halifanikiwi halafu Demu mwenyewe nae ndiyo ' Kakolea ' kweli Kwangu nikitishia kuachana nae anasema ' atajiua ' ili nami nikanyee debe Segadansi / Segerea.
Yaani niko njia panda hadi sasa nawaza sijui ili kumtafutia tu mbinu ya kuachana nae na kumkwepa nitafute tu Karatasi lolote hapa Gheto kisha niliandike " Naunga Mkono Maandamano ya Mange Kimambi Serikali ya Kidikteta na Mapolisi wote Tanzania ni nyoronyoro mnamhara Dada wa Taifa " kisha ' nimchomeshe ' kwa Mapolisi wa Kituo cha Karibu nami hapa ili wamkamate nami niweze kupata tiketi ya kuachana nae kwani kuna hatari kwa hizi ' Nuksi ' zake za awali huko mbele maisha yangu yatakuja kuwa ya matatizo zaidi.
Najuta sana kuachana na Yule Mpenzi wangu wa mwanzo na Wanaume wenzangu amini msiamini siyo kila ' Mbunye ' ni za ' Kuzichomekea ' tu hii ' Mikuyenge ' yetu kwani kuna zingine zina ' nuksi ' na ' mibalaa ' iliyotukuka hivyo linalonitokea sasa liwe funzo Kwenu.
Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie!
Nawasilisha.
Yaani niko njia panda hadi sasa nawaza sijui ili kumtafutia tu mbinu ya kuachana nae na kumkwepa nitafute tu Karatasi lolote hapa Gheto kisha niliandike " Naunga Mkono Maandamano ya Mange Kimambi Serikali ya Kidikteta na Mapolisi wote Tanzania ni nyoronyoro mnamhara Dada wa Taifa " kisha ' nimchomeshe ' kwa Mapolisi wa Kituo cha Karibu nami hapa ili wamkamate nami niweze kupata tiketi ya kuachana nae kwani kuna hatari kwa hizi ' Nuksi ' zake za awali huko mbele maisha yangu yatakuja kuwa ya matatizo zaidi.
Najuta sana kuachana na Yule Mpenzi wangu wa mwanzo na Wanaume wenzangu amini msiamini siyo kila ' Mbunye ' ni za ' Kuzichomekea ' tu hii ' Mikuyenge ' yetu kwani kuna zingine zina ' nuksi ' na ' mibalaa ' iliyotukuka hivyo linalonitokea sasa liwe funzo Kwenu.
Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie!
Nawasilisha.