Recent content by baraka jr 2016

  1. baraka jr 2016

    Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

    Shukurani mkuu amani iwe kwako hkuna jmbo ambalo halibdiliki maishani litapita tu hlo jipe moyo
  2. baraka jr 2016

    Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

    Mkuu kuna usemi mmoja wnasema kupanga ni kuchagua lkn kuchagua sio kupanga Mahusiano ambyo hyana dira wla muelekeo huwa ynatucost na ynaturudsha nyuma piga mahesabu gharama zote ulizoztumia ungekuwa umewkeza sehem sahiz si ungekuwa mbali sna Amua vema mtu ambae sio sahihi ktk maisha yko...
  3. baraka jr 2016

    Ni mchambuzi gani bora wa michezo Tanzania?

    Sports headquarter EFM wanajitahidi sana kwa contents analysis ya michezo ni full pakage na wanacover sehemu kubwa sana ya michezo ktk maeneo mbalimbali
  4. baraka jr 2016

    Mashine ya miwa ya mkono used inahitajika

    Wanajukwaa habari zenu natafuta mtu yeyote anayeuza mashine ya mkono ya kukamua miwa used iliyo kwenye kiwango kizuri nipo Dar es salaam.
  5. baraka jr 2016

    Transfers Talk Special Thread 2017/18

    Griezman anaelekea old Trafford jezi namba 7 jnamsbiri ongeza na utd kucheza UCL
  6. baraka jr 2016

    ACACIA: We declare everything of commercial value that we produce and pay all appropriate taxes

    Rais wetu JPM namfaham vzr sna nchi hii sio shamba la bibi w2 wnachota tu rasilimali zetu bila watz kufaidika ikiwezekana watuachie madini y2 too sad JPM usimuache mtu yyte aliehusika ktk hili lzma awajbishwe watz tumeliwa vya kutosha Ss tuko pmja na JPM Mungu azidi kumpigania na kumlinda kwa...
  7. baraka jr 2016

    ACACIA: We declare everything of commercial value that we produce and pay all appropriate taxes

    Watanzania sisi watu wa ajabu sna yaani tunashindwaje kuwa na uzalendo na rasilimali za mchi yetu Rais wetu anauchungu sna na w2 wanaokula jasho la watanzania hlf mtu mshipa wa shingo umesimama anawatetea Acacia kwa lipi kwa hasara yte walioyotuletea TANZANIA KWANZA Mungu mbariki sna Rais wetu...
  8. baraka jr 2016

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  9. baraka jr 2016

    Wanawake akili zenu dah! Kila siku mnanipa mafundisho in a hard way

    Pale mchepuko anapokukera adi unatamani umwambia mkeo teh teh teh any way jna matokeo ngap ngap wakuuu chelsea vs Spurs
  10. baraka jr 2016

    Kwa wapenda MIELEKA, leo tutaje WWE FINISHERS na MOVES mbalimbali unazozipenda au ulizozipenda

    Roman reigns the big dog style yke ya super man punch ni shida hyu jmaa kwangu mm atakuwa best of all time superstar ktk wwe
  11. baraka jr 2016

    Unatamani kumuacha ila unashindwa? Ngoja nikwambie kitu

    Actually hkna maamuz magumu ni umakini tu ktk kuamua jambo lolote lile ktk maisha ukiona mtu anashindwa kuamua jmbo amblo hlina tija ktk malengo ya maisha yke maana anajrbu kununua furaha yke kwa gharama ya kusingizia hwz kuish peke ake kmzoea partner wke hya ni mazoea tunaish kutokna na muda...
  12. baraka jr 2016

    Nahitaji kitanda used

    mkuu weka 150 5 kwa 6 mm ninacho tena cha mninnga nichek pm
Back
Top Bottom