Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

Mkuu kuna usemi mmoja wnasema kupanga ni kuchagua lkn kuchagua sio kupanga
Mahusiano ambyo hyana dira wla muelekeo huwa ynatucost na ynaturudsha nyuma piga mahesabu gharama zote ulizoztumia ungekuwa umewkeza sehem sahiz si ungekuwa mbali sna
Amua vema mtu ambae sio sahihi ktk maisha yko atakurudsha nyuma ht umpende vipi
Maisha ni muhim klko mahsiano ysyo na tija wla mwelekeo kwako maisha hykusubir
 
ushauri wangu ni hivi ni mara mia maumivu ulonayo leo ambayo ipo siku yatafika kikomo ,kuliko kumrejea alafu ukaendelea kuteseka daima ,la muhimu songa mbele hayo maumivu ni ya mpito yatakweisha tu
 
Naendelea kusoma ila naona kabisa ww huna moyo una lijiwe mwanamke wa hivyo labda aniwekee libwata maana cjawahi penda kama ivoo
 
Vizuri sana mwanachama sasa ni hivi
1. Punguza starehe fanya mambo ya maendeleo,kumbuka hicho ni kibarua kinaweza kuota nyasi mda wowote ukaadhirika ukaja kuomba kodi hapa.
2. Kumbuka kufanya ibada kila ijumaa na jumapili,muombe Mungu akupe mke mwema(ila sio wa club tena)
3. Tembelea kwenda maeneo tofauti tofauti,umesema uko Rock city nenda hata hapo rock city mall,nenda movie theatre,kwenye maduka humo ndani huwezi jua utakutana na mkeo,nenda beach huko ziwani,kwenye business meetings,seminars,shopping supermarket huko ndio sehem atleast unaweza kukutana na mtu anaeeleweka ila sio club.
4. Fanya savings mapema sio unatumbua tu,kumbuka unataka mwenyewe kujitia kitanzi cha ndoa,hivyo mzigo wa majukumu lazima utaongezeka,utaanza kulisha mtu mmoja zaidi baadae wataongezeka watakuwa wawili,watatu na kuendelea.
5. Ukipata mwanamke mchunguze vizuri(tumia mbinu za kijasusi kidogo) kama je anafaa kuwa mama watoto wako? Huyo angeachia mtoto housegirl au jirani halafu yeye akaenda club.
6. Nimechoka kuandika,fanya hayo kwanza
Mungu akubariki sana Kaka. Asante kwa ushauri
 
Hiyo kauli ya kipigo cha mbwa koko imenichekesha sana,nimemkumbuka yule kamanda wa dodoma hahahaaha.Sasa kijana huyo mwanamke mwache inaonekana wewe ni kunguru na yeye ni mwewe nikimaanisha hamuendani kabisa na hii ni kwa mujibu wa maneno na matendo uliyoyaeleza.Pole sana
 
Wewe unaonekana mboga Saba,madem umewajulia ukubwani. Hata tukikushauri hapa haisaidii kwanza endelea kuonja joto ya jiwe. Ili nawe uje kuwa mshauri kwa watoto wetu
Hapana Mkuu, familia yangu ni wakulima na nimekulia Maisha ya kawaida Sana, hata sasa hii kazi ni kwa uwezo wa Mungu tu
 
Kaka unajiona kwenye uhusiano wako wa uchumba hivyo basi jua hatabadilika daima..maana uchumba ni kivuli cha ndoa... nakushauri ndugu najua inauma ila jipe mwezi tu na utakuwa sawa... ukiendekeza ukimwi upo karibu
 
Mmmh mbona kama leo Wanaume zamu yetu kuzalilishana!!! Like seriously kabisa nakaa pembeni demu wangu yule pale namuona na Kizeee.
Jamani jamani Uuuuuuuwwiiiiiii. .Mola aniepushe mana kitakacho tokea report ya Ma Dr's ndio itaeleza huyo marehem amekufaje.
Mapenzi upofu
 
Yani unashare na wanaume wenzio upo tu unatizama!!!!! Ama kweli tunatofautiana.

Wanawake walivyo wengi hivi, tafuta mtu upange nae maisha ujana una mwisho.
 
acha ujinga rudi haraka kwa mtu wako kama umeweza vumilia akitoka na jibaba, mara ma ex's, kutoa mimba yako kipi kitakushinda hata akileta UKIMWI Naamini utavumilia.

hii ndo shida ya kuanza mapenzi ukubwani, huna ujanja we rudi tu mkuu
 
Acha uzoba.... Huyo sio mwanamke wa kuweka ndani... Ni mdangaji hayo ndio maisha yake..... U think u can change her... Only a month kapata mzee... Na wewe uache kutia tia hovyo.....
 
Back
Top Bottom