- Thread starter
- #101
Sahihi kbsAt average mmeachana na kuriadiana Mara moja kila moja kwa kila mwezi
Sahihi kbsAt average mmeachana na kuriadiana Mara moja kila moja kwa kila mwezi
Sawa Kakaufanyie kazi tafuta mtoto mwingine....acha kupiga mwanamke
Asante kwa kunitia nguvu Ndugu yangu. Mungu akubarikiMkuu kuna usemi mmoja wnasema kupanga ni kuchagua lkn kuchagua sio kupanga
Mahusiano ambyo hyana dira wla muelekeo huwa ynatucost na ynaturudsha nyuma piga mahesabu gharama zote ulizoztumia ungekuwa umewkeza sehem sahiz si ungekuwa mbali sna
Amua vema mtu ambae sio sahihi ktk maisha yko atakurudsha nyuma ht umpende vipi
Maisha ni muhim klko mahsiano ysyo na tija wla mwelekeo kwako maisha hykusubir
Asante kwa ushauriushauri wangu ni hivi ni mara mia maumivu ulonayo leo ambayo ipo siku yatafika kikomo ,kuliko kumrejea alafu ukaendelea kuteseka daima ,la muhimu songa mbele hayo maumivu ni ya mpito yatakweisha tu
Mitihani ya KiduniaNaendelea kusoma ila naona kabisa ww huna moyo una lijiwe mwanamke wa hivyo labda aniwekee libwata maana cjawahi penda kama ivoo
Shukurani mkuu amani iwe kwako hkuna jmbo ambalo halibdiliki maishani litapita tu hlo jipe moyoAsante kwa kunitia nguvu Ndugu yangu. Mungu akubariki
Asante KakaHiyo kauli ya kipigo cha mbwa koko imenichekesha sana,nimemkumbuka yule kamanda wa dodoma hahahaaha.Sasa kijana huyo mwanamke mwache inaonekana wewe ni kunguru na yeye ni mwewe nikimaanisha hamuendani kabisa na hii ni kwa mujibu wa maneno na matendo uliyoyaeleza.Pole sana
Asante kwa ushauri KakaKaka unajiona kwenye uhusiano wako wa uchumba hivyo basi jua hatabadilika daima..maana uchumba ni kivuli cha ndoa... nakushauri ndugu najua inauma ila jipe mwezi tu na utakuwa sawa... ukiendekeza ukimwi upo karibu
Asante MkuuYani unashare na wanaume wenzio upo tu unatizama!!!!! Ama kweli tunatofautiana.
Wanawake walivyo wengi hivi, tafuta mtu upange nae maisha ujana una mwisho.
Nitajitaidi kufanyia kazi ushauri wenu hakika umenipa mwangaza na kunitia nguvu, nahisi amani ya moyo imeanza kurudiSio kwa upofu huo ulionao
Sawa MkuuJiulize kwanza mlipokutana then take your time and move on
Asante kwa ushauri Mtumishi. BarikiwaHuyo mwanamke anasumbuliwa na nafsi alizotembea nazo kabla hajaingia katika maisha yako..ili uweze ku-win mapenzi yake tafadhali shirikisha wazee wa dini husika unayoitumikia ili huyo mwanamke avunje hizo nafsi na akubali kuwa na wewe..hapo atapona! Tatizo la kuzini kabla ya kuingia kwenye ndoa hayo ndio matokeo yake!
Asante sana SisterPole mkuu.
Kwa maelezo hayo achana naye