Siku za usoni chama cha walimu(CWT) Kitaanzisha Benki wanayoinadi kuwa ni ya walimu kitu ambacho ninakipinga kwa sababu katika mfumo wa kibepari kuna matabaka makubwa mawili; tabaka la wamilikaji njia kuu za kiuchumi(hapa ni viongozi wa CWT) na wafanyakazi (na hapa ni walimu).kwa maana hii...
Inawezekana ni sahihi ila nimemvumilia kwa kuwa hana tabia ya umalaya hili ndio zuri kwake na nilimkuta 'sealed' ndo nikaamini mengineyo nitayabadili ila inakuwa ngumu kwa hiyo tabia ya kujiamini on everything.
Habari jf. Nimekuwa ktk mahusiano na mwanamke mmoja wa kiwanji kwa takribani mwaka sasa ninampenda sana, na nipo mbioni kumuoa lakini nina wasiwasi kama ndoa yetu itadumu maana anatabia ya kusikiliza na kuamini kila anachoambiwa iwe na ndugu au rafiki.
Lakini pia anaonekana na tabia ya kupenda...
Ni miezi kadhaa imepita tangu interview zifanyike ambapo interview ya kwanza ilifanyika mwezi wa tisa na baada ya muda wakatuita tena katika interview ile ile kwa mara ya pili jambo ambalo halikuwepo mwanzoni, tukaenda tukafanya tena interview nakumbuka ilikuwa tar 15/11/2013. mpaka leo hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.