Recent content by Bangida

  1. Bangida

    SWALI FIKIRISHI: Kama kungekuwa na kuchagua ni namna gani ufe ungechagua kifo cha namna gani?

    Kupigwa bomu. One second, lights off kudadadeki
  2. Bangida

    Uchumba wenu ulichukua muda gani Kabla ya ndoa?

    Malovee, miaka 2, uchumba miaka 3. After that time nlikaa nkasema wazi kua hata nkipata mtu mwingine hawez kusonga ugali mgumu kama huyu, nkaenda kupeleka taarifa kwa wazee..
  3. Bangida

    Unatokaje kwenye huu mtego?

    Sasa chakula ni kitu ya kuwaza? Unawapa tu, hata wakila chote. Riziki ni kugawana, we umepata ye hajapata. Ukimgawia akisema ahsante it goes very far.
  4. Bangida

    Wanaotoka kazini wanapitia Bar inawahusu

    Bond inakua kubwa zaidi between people pale ambapo hawaonani kwa muda mrefu. Mimi naondoka saa kumi na moja narudi saa sita kasoro. Nkifika mda huo mwenzangu alishalala usingizi ukapungua, ataamka, tutapiga stori mbili tatu, ntazima hadi next day. Lakini at leasy once per week nawahi au nabaki...
  5. Bangida

    Video: Itakuwa vyumba vimejaa

    Akiiona Maghayo atawasumbua sana wale nduguze katika imani.
  6. Bangida

    Zabuni (tender) ya kununua vitu vya kawaida kabisa anapewa mchina viongozi wa Afrika ni wabinafsi sana

    Natamani ungekua unaelewa how govt tender worjs kwa nchi za kiwaki kama zetu. Iko hv, hadi hyo zabuni inatangazwa na kupewa mchina, lazma ma teni pasenti kibao yashawekwa humo kati. Mchina anafuata mashine huko kwao at a throw away price analeta, hapati hasara yoyote. MZawa sasa, utanunua...
  7. Bangida

    Mwanza ni sehemu gani wanachoma kitimoto Murua?

    1. Flex - ika karibia na jiji 2. Sparrow - iko karbia na daraja la rock city mall 3. Sinai - iko njia ya buzuruga 4. Mafoil - iko nyegezi karbia na stendi 5.
  8. Bangida

    Love story of short broke black man

    Hapo ndo unakosea. You sound desperate mpaka hapo. Mwanamke hutakiwi kumueleza shida zako maana ye ana zake Hadi zinajaa. Unatakiwa umuonyeshe reasons za kwanini akuchague wewe over others or over alienae at the moment.
  9. Bangida

    Muhimbili yaongeza Gharama za Kuona wagonjwa wa VIP

    Naona bwana lishe janabi ameona hatutaki kula mbilimbi na kachumbari for breakfast lunch and dinner, ameamua kuongeza gharama ili tuanze kula anavotaka kwa makusudi tukwepe gharama. Ukichimama nchale, ukikaa nchale..
  10. Bangida

    Magari 56 ya Wakuu wa Wilaya kununuliwa mwaka wa fedha 2024/25

    Im just thinking out loud, kwanin wasinunuliwe zile Rav 4 sauti ya manka? Maana zile ni kanyaga twende kwenye shimo na lami. Au probox zinafaa. Ili kuwatofautisha na sisi wengine wanunuliwe za kijani ili wamtangaze na kumsifia boss kwa maneno na vitendo
  11. Bangida

    Love story of short broke black man

    Yawezekana hapa tunahangaika kishauri lakini kumbe huenda hujui kupiga mistari a.k.a kutongoza. Maybe ungeweka hapa style yako ya kupiga verse maana wadada wako kibao humu ndani watakushauri unakosea wapi. Kingine, nobody should tel u kua tafuta low quality chicks, ukiendekeza huko utakua soro...
  12. Bangida

    Usajili wa luku mpya

    Sio lazma uende ofisini, piga ile namba yao, (japo utasubiri sana), then ongea na mhudumu mueleze suala.lako. Atakuuliza mita namba, then atakutajia manamba kibao, utayarekodi pembeni then utaenda kufungua mita yako kwa kuingiza namba hzo. Most times it takes at least 5 working days kuanzia...
  13. Bangida

    Bifu la maslahi, linavyokatisha maisha ya mwana harakati wa mtaani

    Im sure unamuongelea bwana Gustavo Frings a.k.a Gus from Los pollos hermanos. To be honest, Gus alikua na akili mingi sana yule chalii. Alikua ameiset empire yake so nicely kias kwamba angeweza kusurvive for many years, sema akamuingiza mkuda Walter ndo hapo akanyea kambi.
  14. Bangida

    Video: Hizi ndio akili za bodaboda

    Wadudu on fleek
  15. Bangida

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Mange si alipiga nae li foto kipindi kile? Wanajuana
Back
Top Bottom