Mwanzoni hua kuna lile wenge la kupata free internet but with time hua linaosha unabqki kuiona kama kutu cha kawaida tu.
Nilipofunga wi-fi kwangu, kulikua na the same situation, watu hawafamyi kazi, kila mmoja kwenye simu n.k, but within a week, woooi, wanafanya kazi zao kama kawaida na hawana...