- Thread starter
- #21
Asante sana mkuu. NitaendaTumia hii toner,unasafisha na pamba baada ya kuoga kisha ndiyo upake mafuta.
Ila sijajua uko wapi maana zipo na feki za mchina,kama upo Dar nenda S.H.Amon(Mlimani city) au Zurii wapo Dar free market!
Asante sana mkuu. NitaendaTumia hii toner,unasafisha na pamba baada ya kuoga kisha ndiyo upake mafuta.
Ila sijajua uko wapi maana zipo na feki za mchina,kama upo Dar nenda S.H.Amon(Mlimani city) au Zurii wapo Dar free market!
Mix baking soda na limao hlf sugu
Asante, japo Nimeshafanya hivyo haikusaidiaMix baking soda na limao hlf sugua
Nivea hiyoMkuu inaanzia na letter N mkuu
Nilitumia deodorant flani kwa Muda kumbe inasababisha kwapa kuwa jeusi. Sasa nimejaribu kutumia limau kwa Muda mrefu Lakini wapi. Limau linakata tu harufu y’a jasho ila haliondoi ule weusi ulioletwa na ile deodorant y’a mwanzo. Nikaambiwa nijaribu deodorant y’a forever living lakini wapi. naombeni mnisaidie kwa anayejua kitu kitachonirudishia rangi y’a mwanzo ambayo sio dark kama iliyopo saivi. Na shingo Pia, hasa upande wa nyuma Naona it’s darker
Pengine una allergy na hiyo product.Mmh nilikua nimeiandika Ila nikafuta nimehofia kuharibu biashara Za watu na mod wakafuta uzi wangu kabla sijapata majibu y’a shida yangu Maana ni jina common sana. Ila product zao zingine zote ni nzuri.
Aah hata nilikua Sijui km wanazo Za aina nyingi so Sijui nilitumia ipi. Najua tu ni déodorant yaoNi ni-vea ipi hiyo mkuu ? Maana wana aina nyingi mno.
Very good idea. Asante mkuu sikua nimefikiria hukoPengine una allergy na hiyo product.
How jmn😃 km zinahusiana nn na makwapa! Afu mi Mbona 30 yenyewe naitafuta kwa manati mkuuINAWEZEKANA NI KILOMETERS ZISHASOMA ZA KUTOSHA MKUU😁
Pole sana
Yapo ya aina nyingi, kuna Dry Impact, Silver Protect, Black & White Invisible, Cool Kikck, Fresh Active na mengine ambapo kila moja ina ingredients zake.Aah hata nilikua Sijui km wanazo Za aina nyingi so Sijui nilitumia ipi. Najua tu ni déodorant yao
Duh kuna hiyo moja inaitwa smart n hatari kuna kipindi nilinunua afu 3, ukiipaka kwapani unasikia inavuta hatari nikaitupilia mbali.Ndio mkuu
NIVEAMkuu inaanzia na letter N mkuu
Usitumie limao pekeeNilitumia deodorant flani kwa Muda kumbe inasababisha kwapa kuwa jeusi. Sasa nimejaribu kutumia limau kwa Muda mrefu Lakini wapi. Limau linakata tu harufu y’a jasho ila haliondoi ule weusi ulioletwa na ile deodorant y’a mwanzo. Nikaambiwa nijaribu deodorant y’a forever living lakini wapi. naombeni mnisaidie kwa anayejua kitu kitachonirudishia rangi y’a mwanzo ambayo sio dark kama iliyopo saivi. Na shingo Pia, hasa upande wa nyuma Naona it’s darker
Dah pole sana mkuuDuh kuna hiyo moja inaitwa smart n hatari kuna kipindi nilinunua afu 3, ukiipaka kwapani unasikia inavuta hatari nikaitupilia mbali.
Asante yani nilihisi kwapa kunyofoka😂Dah pole sana mkuu
Asante sana mkuu. Nimeanza kufanya waxing nikataka niache sababu y’a maumivu, ila Ngoja niendelee nayo kwanzaUsitumie limao pekee
Changamya na bicarbonate of soda
Ndani ya muda mfupi tu weusi utausikia.
Japo hii njia si nzuri sana kutumia kwa muda mrefu.
Njia nyingine ila ya taratibu
Usishave kwapa kwa shavers
Tumia waxing.
Kumbe N hatari