Amini usiamini Ile namaliza tu kusoma uzi huu natoka nje ya nyumba yangu nakutana na huu mmea umezagaa kibao kuzunguka nyumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam waungwana,
Hakika na Mimi mmojawapo kati yenu kabisa kama muathirika wa hali hii,niliumwa sans mafua na kifua kikali sana kipindi hicho na hata wife na watoto pia walipitia hali hiyo hiyo kama ilivyokuwa kwangu.
Nilipona mafua hayo kwa kipindi hicho na familia nzima tulipona ingawa...
Je hii ndio hadith ambayo ungependa uje uwahadithie wajukuu zako kwa kujivunia kabisa kupitia watoto wako hapo baadae,kumbuka uliwaahidi wanao kwamba wewe unayo fedha za kutosha kujenga miradi ya aina hii,Lakini baadae ukope ujenge kisha ulipe huo mkopo kwa kutumia pesa za ndani,je hii ni sawa...
Asante sana kwa msaada mkubwa hasa kwetu sisi ambao tunajaribu kutafuta uzoefu ktk ufugaji,mie pia nimekutana na tatizo hilo la ndui kwa vifaranga ambavyo mpaka sasa wana umri wa mwezi mawili na siku kadhaa.
Nimeshindwa mpaka sasa kuchanja ndui ili nipambane na ugonjwa kwanza,Shukran napambana...
Mtu mjinga kabisa,na wala sikuwahi kujua kama we ni mjinga wa kiwango hiki,yaani unafurahia watu kufa kidhalili namna hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.